Sirro na mkulu walishatoa hukumu kwenye vyombo vya habari hawa walipata wapi ujasiri?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
“It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all doubt.”Hili jambo lipo wazi kabisa kwamba kosa la Mbowe ni kuisumbua Serikali kwa mambo mbalimbali yakiwemo ya janga la Corona na kudai katiba mpya wakati si ajenda ya Serikali ya CCM kwa sasa.
Yote sawa, sasa ndiyo mumpatie UGAIDI ?
Jibu la hili swali lako la kijinga ni hili:Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Mbona wao wanasema? Hujamsikia Samia akihojiwa na BBC? Au hujamsikia Afande Zero akidai Mbowe siyo malaika??Hairuhusiwi kusema chochote wakati kesi ikiwa mahakamani.
Pambafu!!Huyo Askofu si ni Chadema au huwa humuoni akizungumziaga masuala ya Chadema? si ajabu kumtetea Mbowe.
Nguvu zimetoka kwenye uhalisia wa mazingira ya kesi yenyewe.Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Amesemaje?Homilia ya Baba Askofu Shoo wakati wa maziko ya Mama Mkwe wake na Mbowe imenistua - Baba Askofu Shoo amepata wapi nguvu za kuituhumu serikali kuwa inamuonea Mbowe ili hali kesi yake iko mahakamani?
Maisha binafsi ya Mtu. Wazinzi wako wengi tuu. Yaani wakitajwa utakufa Kwa Stroke na Chuki zako. Mbowe alizini na Mkeo, au Dada yako au Mchepuko wako?Shoo mwenyewe hakuona uzinzi wa mbowe sasa unadhani ataona hilo?
Ndugu ,ungejibu hoja yangu kwamba hii ni nchi ya sheria.Ndio maana Mbowe kesi yake IPO mahakamani.Kwann huyu sijui mchungaji aingilie?Isitoshe ,siamini katika watu .Naamini Mungu wa mbinguni.Inaonekana unaamini watu sio mungu wako.Huyo mchungaji wako Shoo ni MTU tu kama watu wengine.Amezaliwa kwa sexual intercourse ya Mme na mke.Ni binadamu wa kawaida tu.Kwa hiyo usinipangie cha kuongea kwa kuwa una Mungu Shoo
Ningekuwa mimi ni Baba Askofu Shoo NINGESALI na watu waone matokeoJibu la hili swali lako la kijinga ni hili:
YOU CAN FOOL SOME PEOPLE FOR SOME TIME, BUT YOU CAN'T FOOL ALL PEOPLE ALL THE TIME!!!
Askofu Shoo ni mrumishi wa Mungu aliye Hai na anapoongea ana maono. Askofu Shoo amejaribu hata kufafanua kuwa ANAMJUA MBOWE NA AMEKUWA MBUNGE WAKE FOR YEARS NA HAJAWAHI ONA MHE . MBOWE AKIWA NA VIASHIRIA VOVOTE VA KIHAINI!!
Watz wote tunajua Mhe. Mbowe ni MFANYABIASHARA NA MWANASIASA TU, nothing else!!
HILI LA UHAINI LIMETENGEZWA TU NA SERIKALI YA SAMIA KAMA MIPANGO OVU YA KUMMALIZA MHE. MBOWE KISIASA MAANA NDIYE MWANASIASA MACHACHARI TOKA UPINZANI ANAYEISUMBUA CCM. Haya mambo kuna siku Mungu atayaweka hadharani tu. Time gonna tell!