Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Kumekucha SASA TUMEFIKA HUKU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UkabilaHuyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Huyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Swami lako limetokana na nani mwenye hoja hii?Ukabila upi ?,Mimi nimeuliza swali tu mkuu!!!
Pale anayetoaga visenti anapoguswa. Ni mtu mwenye double standard sana. Na huwa haziki maskini hata siku moja hanaga muda huo.
Unataka akimface nawe umsikie ?!hivi huyu hayupo kwenye chama kile cha TEC? Kama yupo wakipewaga mualiko wanaongeaga nini na maRais, au ndo wanaishia kuombea amani tu? Maana sielewagi mtu mwenye kum-face almost Rais atleast mara mbili kwa mwaka anakuja kutulalamikia tena sisi raia wa kawaida
Nazika mbwa na pakaSasa yeye akizika hao maskini ww utazika nini?
Angekuwa msukuma ungeona jipya au siyo, wazee wa legacyHuyu jamaa si Ni mchagga? Sioni jipya toka kwake!!!!
Nazika mbwa na paka
Ndio ni mchaga tena first class, kwani shida ipo wapi?Ukabila upi ?,Mimi nimeuliza swali tu mkuu!!!
Daima huyu mtumishi hanaga unafiki wa kujipendekeza maneno yake yamenyooka kama miale ya jua hapana tafuna maneno "MBOWE SIYO GAIDI"
Hata mi nashangaa wanacheza ngoma ya wachagga ina maana hawaoni pamoja na usomi wao?Bagonza na Mwamakula nao ni wachaga?
Umefilisika hoja mkuu sura na hoja wapi na wapi stupifNi Askofu ila lina roho mbaya kama sura lake.
Huyo askofu ni wa hivyo Sana aliharibu Sana kanisa la Kkkt mpk aibuAngekuwa msukuma ungeona jipya au siyo, wazee wa legacy
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Anamshinda jiwe ukabila?Hana akili yeyote huyu askofu, ukimfuatilia sana utagundua amejaa ukabila hadi anaboa
Akiguswa mtu wa kwao ndo utakuta anafungua mdomo.
Umaskini ni laana na sio Jambo la kujivuniaPale anayetoaga visenti anapoguswa. Ni mtu mwenye double standard sana. Na huwa haziki maskini hata siku moja hanaga muda huo.
Ni Askofu ila lina roho mbaya kama sura lake.