Askofu TD Jakes ajiuzulu baada ya kashfa ya kutembea na muumini wake....

Askofu TD Jakes ajiuzulu baada ya kashfa ya kutembea na muumini wake....

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Askofu TD Jakes ambaye amemtumikia Mungu kwa miongo mingi amejiuzulu kwa madai ya kuwa na mahusiano na mmoja wa waumini wa kanisa lake.





Source: Tecnico Informatico
 
Kama Gwaji boy. alichomoka kwenye ule msala.. hata huu TD jakes ana chomoa mapema kabisa ...
hawa viongozi wa dini wana wafuasi wao ... hata waambiwe nini huwa chomoi.



PS: Uzi una sema alitembea na muumini wake ambaye ni Mwanamke. ila comments zina muhusisha na mambo ya kina P.Didy
 
Aliamua kula kondoo walionona

Yeremia 23 : 1 , Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA.

24 Je, mtu ye yote aweza kujificha mahali pa siri, nisimwone? Asema BWANA. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.
 
Inafikilisha sana
Yaani mwanaume mmoja Tajiri na mwenye mvuto kwa wanawake anakuwa na uhusiano na wanaume wenzake wakati kuna mamia ya wanawake wanamgombea.
Cha ajabu zaidi anatembea na wanaumme matajiri au wanaotaka kuwa matajiri.

Wafanyakazi wake wanadai kuwa watu kadhaa wenye mafanikio makubwa Duniani akiwemo huyu mtume, Rais mstaafu wa nchi kubwa, mwanamziki tajiri zaidi duniani, Bondia aliyewahi mng'ata mpinzani wake, star wa bongo, star wa Nigeria na wangine wengi wamekuwa wakifika katika jumba la huyo star kwa minajiri ya kujamiiana naye. Jamaa ana ushetani flani hivi.

Mamlaka za Marekani zinatafuta upenyo wa kisheria wa kumbana jamaa kwani wengi walienda kwa hiari. Nahisi watampa kesi ya kuwaingilia watoto ili kumtia hatiani.

Awali ilizaniwa sababu ni kupenda tu aina hiyo ya mahusiano, lakini inaonekana ni sharti la kiimani katika imani ambayo wanaamini.

Kama Uwoya anavyowaasa vijana, Msitamani utajiri wa ngekewa. Utajiri halali unatokana na juhudu, ubunifu, hard-work na mipango.

Mungu atusaidie na kutunusuru
 
Kuwa mkweli, ajisafishe kwa kukubali kuwa ni shoga?
TD Jakes amekiri kwa fanilia yake hususan mkewe kwamba alikuwa na mahusiano na mwanamke mmoja wa kanisa analoliongoza.

Lakini, zipo video zinaonesha Askofu aki-twerk jukwaani katika moja ya sherehe za P-Didy. Hawa watu wanaosema kuwa ni innocent ni walewale wanaoshabikia matendo ya kisheitwan
 
Wewenendeleqnkujifariji tu. Askofu huyo
ingawa ina fahamika .. hayo mambo yapo nchi za kiarabu.

mfano hapa kwetu Tanzania..
ni Zanzibar na ukanda wa pwani .. kwa Kenya ni Mombasa.

kakakiri analiwa.

Kilimanjaro kuna mpaka asasi za kuhamasishanaushoga, jikumbushe:

 
Back
Top Bottom