Askofu TD Jakes ajiuzulu baada ya kashfa ya kutembea na muumini wake....

Askofu TD Jakes ajiuzulu baada ya kashfa ya kutembea na muumini wake....

Inafikilisha sana
Yaani mwanaume mmoja Tajiri na mwenye mvuto kwa wanawake anakuwa na uhusiano na wanaume wenzake wakati kuna mamia ya wanawake wanamgombea.
Cha ajabu zaidi anatembea na wanaumme matajiri au wanaotaka kuwa matajiri.

Wafanyakazi wake wanadai kuwa watu kadhaa wenye mafanikio makubwa Duniani akiwemo huyu mtume, Rais mstaafu wa nchi kubwa, mwanamziki tajiri zaidi duniani, Bondia aliyewahi mng'ata mpinzani wake, star wa bongo, star wa Nigeria na wangine wengi wamekuwa wakifika katika jumba la huyo star kwa minajiri ya kujamiiana naye. Jamaa ana ushetani flani hivi.

Mamlaka za Marekani zinatafuta upenyo wa kisheria wa kumbana jamaa kwani wengi walienda kwa hiari. Nahisi watampa kesi ya kuwaingilia watoto ili kumtia hatiani.

Awali ilizaniwa sababu ni kupenda tu aina hiyo ya mahusiano, lakini inaonekana ni sharti la kiimani katika imani ambayo wanaamini.

Kama Uwoya anavyowaasa vijana, Msitamani utajiri wa ngekewa. Utajiri halali unatokana na juhudu, ubunifu, hard-work na mipango.

Mungu atusaidie na kutunusuru
Kama ni hivyo bwana NASIBU hakutoka salama 🤔
 
Wewenendeleqnkujifariji tu. Askofu huyo


kakakiri analiwa.

Kilimanjaro kuna mpaka asasi za kuhamasishanaushoga, jikumbushe:

Kilichoandikwa hapa sidhani kama kuna mtu anaweza kukielewa, mwandishi kafika la nne kweli!!?
 
TD Jakes amekiri kwa fanilia yake hususan mkewe kwamba alikuwa na mahusiano na mwanamke mmoja wa kanisa analoliongoza.

Lakini, zipo video zinaonesha Askofu aki-twerk jukwaani katika moja ya sherehe za P-Didy. Hawa watu wanaosema kuwa ni innocent ni walewale wanaoshabikia matendo ya kisheitwan
Hakusema mwanamke. Usizuwe.

Isikilize video ya pili.
 
Source ya nini na vitu vipo wazi kabisa?

Kila diku Gavana anawakumbusha source kwenye signature yake. Jikumbushe:

"In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession".
Kwa hiyo kuna vitabu tumevisoma kuwa Mtume SAW, alikuwa peodophile, inatosha?
 
Kama kuna vijana wanataka kujiunga kwenye ushirikina na kuwa tayari kufanya sharti lolote la kishetani watashindwa nini kutoa tigo ili wapate fedha/utajiri wa harakaharaka? Watabunyuliwa tu ili wapate fedha na utajiri wa harakaharaka
 
KACHOMWAA NA MWANAE NA KACONFIRM RUMOURS N ZA KWELI...MMH KAZIIPOO HIZIDINI NA INASEMEKANA ALIJIPANHA KULIPA WATU HIZI KELELE ZISITOKEE SIIJUI NAE ATAKIMBIA

YAAN HAWA MABLAK WAFIRAJ SANAA PDIDY..HUYUTENA NA YULE RAPA R KELLY DAH
 
Mmmh napitaatuuu
 

Attachments

  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    9.6 KB · Views: 5
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    33.6 KB · Views: 5
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    12.9 KB · Views: 4
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    15.3 KB · Views: 5
  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    28.5 KB · Views: 5
  • images.jpg
    images.jpg
    33.6 KB · Views: 5
  • images.jpeg
    images.jpeg
    11.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom