Ray 4 real
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 801
- 764
Kweli kabisa sasa hata dogo anaejitahidi kutoka kwa juhudi zake washaanza kumkadia aisee wabongo alieturoga keshafukiwaAsilimia 90% za bifu la wasanii zinatokana na mashabiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa sasa hata dogo anaejitahidi kutoka kwa juhudi zake washaanza kumkadia aisee wabongo alieturoga keshafukiwaAsilimia 90% za bifu la wasanii zinatokana na mashabiki
cha chattle'sKiswahili cha wapi hichi kinjubai..?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]X6 gari imekaa kama mgongo wa kobe haina mvuto.
Nilikuwa naifikiria kuchukua hiyo, lakini nachukus Porsche Macan GTS.
Kuna msanii wa Bongofleva anayo hiyo?
Kama yupo niambieni nihamie kwenye G-Wagon.
Fukunyua tuMmmmh au nawewe tufukue nyuzi zako tuone huwa unaandika nini [emoji 17][emoji16][emoji17]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
TathminiNisahihishe mkuu
![]()
BMW wanazotambia ma star wa bongo hata kumnunulia Bi. Zuhra naona sasa anahitaji upgrade.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
oooh¡¡ Thanks my Super DivaTathmini
Huwezi ukanijibu hivyo mimi ~~~~kwasauti ya yohana [emoji23]Fukunyua tu
Story za Mange Kimambi zishakuharbu wewe.Diamond hiyo X6. Alipewa na yule bwana ake Lulu. Aliekufa kwa kukatwa na meza ya kioo.na mpaka naandika uzi huu deni ajamaliza mke wa marehemu Daimond apokei ata simu yake!So jua kuwa Diamond ni kanjanja tu anaishi kwa kuunga unga
Hizo zote zipo bongo kama unataka chukua kitu Ferrari 458 ItaliaX6 gari imekaa kama mgongo wa kobe haina mvuto.
Nilikuwa naifikiria kuchukua hiyo, lakini nachukus Porsche Macan GTS.
Kuna msanii wa Bongofleva anayo hiyo?
Kama yupo niambieni nihamie kwenye G-Wagon.
Hahahahaaaaa hahaaaa ka ukweli kachunguuuachana na hao haters ambao asubuhi wakiamka wanagombania losheni na dada zao.
badala y kupambana wamiliki hata boxer bm150 kutwa kwa fundi simu kubadilisha screenprotector kwenye vi tecno vyao ili washinde instagram na fb kupiga umbea
Na 90% za bifu za mashabiki zinatokana na wasaniiAsilimia 90% za bifu la wasanii zinatokana na mashabiki
Sijaongelea kuwepo Bongo, stable ya Bakhresa nimeiona.Hizo zote zipo bongo kama unataka chukua kitu Ferrari 458 Italia
Au mwambie achkue lamborghinHizo zote zipo bongo kama unataka chukua kitu Ferrari 458 Italia
Chkua lamborghin mkuuSijaongelea kuwepo Bongo, stable ya Bakhresa nimeiona.
Nimeongelea Bongofleva.
Ferrari risks putting me in the "midlife crisis" category.
"I Lambo Gallard it. I am vehically challenged. That means the car is retarded. But regardless..." -Fabulous.Chkua lamborghin mkuu
Nenda kapewe na wewe!Diamond hiyo X6. Alipewa na yule bwana ake Lulu. Aliekufa kwa kukatwa na meza ya kioo.na mpaka naandika uzi huu deni ajamaliza mke wa marehemu Daimond apokei ata simu yake!So jua kuwa Diamond ni kanjanja tu anaishi kwa kuunga unga