Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aslay jamani, show yake haikujaa tatizo ni nini sasa ni promo au? mbona ray c hakuja ku-perform?
afanyaje?mtafute darasa
doh Mawingu nomaKutumika na Mawingu sio kitu kizuri kabisa, wakimaliza lao wanakuacha upambane na hali yako.
hahahahhaKawaida tu,show nyingi za huko zipo hivyo sema hao wanaojaza ukumbi either huwa wanatumia ukumbi mdogo au wanasubiria dakika za mwisho wanapunguza bei za kiingilio na mwisho watu wanaingia bure,picha mwaaa hewani full masifa wamejaza ukumbi.
Aslay hata mikoani bado panalipa akuje tu
me bado nauliza LONDON imeficha nini mbona wasanii wengi wanadondoka huku?now thats what i call London , achukue hyo na ajifunze kitu, kuna lesson ipo hapo kama ni smart ameelewa
KAABAD THE GREATEST
maskini kaka wa watu doh!Tatizo Clouds kila wanachoshika hakiwi na mwisho mzuri...He is too young akaze tu na aache kutumika kiboya boya
hahahahahhana yeye karogwa na HAMISA MCHAWI...
Anatoa nyimbo kwa fujo watu wameanz kumkinaihahahaha pole yake nyota yake ishafifia sa hivi maromboso amawapeleka puta raia tumeanza kumwelewa
yes bishoo haswaaaa
hahahahaKawaida tu,show nyingi za huko zipo hivyo sema hao wanaojaza ukumbi either huwa wanatumia ukumbi mdogo au wanasubiria dakika za mwisho wanapunguza bei za kiingilio na mwisho watu wanaingia bure,picha mwaaa hewani full masifa wamejaza ukumbi.
Aslay hata mikoani bado panalipa akuje tu
hahahahha
ivi kwanini vijana wanakimbilia LONDON skuhizi? kuna nini?
video ina nini kwan?Jamani mmepata wapi ujasiri wa kuposti hii video!?