Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #41
ivo ee??Anatoa nyimbo kwa fujo watu wameanz kumkinai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ivo ee??Anatoa nyimbo kwa fujo watu wameanz kumkinai
hahahaha nani Free Mason?freemasson nawenyew wanaliya njaa sasa ..akuna anaye hela zakuchezeya hali mawe
mmmh sasa hivi visa za kwenda UK wataanza kutubania kama kwenda USAWana mishe zao nyingine na zile sifa za kufika ulaya
Yeah ukila nyama kila siku lazima utakinai,utataka ule na samakiivo ee??
haya buanaYeah ukila nyama kila siku lazima utakinai,utataka ule na samaki
Kumbe London!!! Nlijua bongo! Huko kawaida mbonaaDah wabongo ni chinjachinja mbayaa
wamemuua mtoto wa watu London aibuje
duKumbe London!!! Nlijua bongo! Huko kawaida mbonaa
hahahahamwambieni aslay namsalimia sana
Hili la kuachia ngoma kila siku nilishawahi kumwambia mtu wake wa karibu amshauri ila nadhani imekua too late... inabidi akaze sana kurudi kileleniAna jipya lipi...
Kajimaliza mwenyewe..
Huwezi ukaachia ngoma kila siku watu wasikuchoke.
Kashaishiwa. Mapema kabisa.
doh!Hili la kuachia ngoma kila siku nilishawahi kumwambia mtu wake wa karibu amshauri ila nadhani imekua too late... inabidi akaze sana kurudi kileleni
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
hahahahah Mmasai! ahahahahhaKikubwa kalipwa pesa yake, hata kama wangekua watu wawili na masai mmoja, kikubwa mpunga kauvuta hayo mengine mtajiju.
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
kwani ameshapata meneja kama Daimond?Inawezekana walitumia nguvu ndogo katika kuitangaza hii show;wangejua ya kuwa tumia pesa upate pesa nadhani ukumbi ungejaa,tatizo linaweza kuwa uongozi wake.
sina hakika,lakini hilo linaweza kuwa tatizokwani ameshapata meneja kama Daimond?
Aslay jamani, show yake haikujaa tatizo ni nini sasa ni promo au? mbona ray c hakuja ku-perform?
jamaan Bongo Fleva inaingizia watuMkate wa kila siku jamaa!Hajaroga kama Diamond, bongo fleva haina mpango.