Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #81
hatareeWasanii wengi kama siyo wote wanaoenda kufanya show ulaya au marekani wanafanyia kwenye vi ukumbi vidoogo vya watu kama 100-200 na wanaohudhuria ni wenyeji wa hukuhuku.
Sababu ni kutojulikana
hela ya niniSema mm sina hela.
unaongea na mimi au simu yako?Za nje tamu?
yeroo qwani sie masai sio watu eenh??Kikubwa kalipwa pesa yake, hata kama wangekua watu wawili na masai mmoja, kikubwa mpunga kauvuta hayo mengine mtajiju.
Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
HAHAHAyeroo qwani sie masai sio watu eenh??
OkayAslay jamani, show yake haikujaa tatizo ni nini sasa ni promo au? mbona ray c hakuja ku-perform?
Wabongo wabishi tu....bongo fleva haina soko nje ya nchi japo wanalazimisha sana kuwapa chati wasainii wao. Peleka bendi ya maana inayopiga muziki live utaona watu watakavyojazana. Watu wanapenda vitu vya ukweli si hizi Big G za computer.Aslay jamani, show yake haikujaa tatizo ni nini sasa ni promo au? mbona ray c hakuja ku-perform?
Point alishawahi kuja Jay Dee UK kaweka CD mashabiki wakamshusha kwa kumuambia hata sisi CD tunazo homeWabongo wabishi tu....bongo fleva haina soko nje ya nchi japo wanalazimisha sana kuwapa chati wasainii wao. Peleka bendi ya maana inayopiga muziki live utaona watu watakavyojazana. Watu wanapenda vitu vya ukweli si hizi Big G za computer.
mwaka gani?Point alishawahi kuja Jay Dee UK kaweka CD mashabiki wakamshusha kwa kumuambia hata sisi CD tunazo home
2004mwaka gani?
msitufanye wajinga, playback mpaka muda huu zinapigwa sana huko mbele kwa wenzetu. Ni baadhi ya show hasa ndiyo utaona wasanii wanapiga live.2004
Tuliza wengemsitufanye wajinga, playback mpaka muda huu zinapigwa sana huko mbele kwa wenzetu. Ni baadhi ya show hasa ndiyo utaona wasanii wanapiga live.
Wenge unalo wewe usiyefatilia mambo. Show ngapi bongo watu wanapiga live lakin appreciation hamtoi.Tuliza wenge
hongeraMhh, ila mimi bado naimani naye
Akiishi kwa kigezo cha kuwa na talent tu hatofika mbali.Watu walio ktk inner cycle yake inabidi wamkumbushe kuwa mbali na talent mziki ni business. Serious business!Aslay jamani, show yake haikujaa tatizo ni nini sasa ni promo au? mbona ray c hakuja ku-perform?
Sauwa bossAkiishi kwa kigezo cha kuwa na talent tu hatofika mbali.Watu walio ktk inner cycle yake inabidi wamkumbushe kuwa mbali na talent mziki ni business. Serious business!