Aslay na Nandy kupelekwa Mahakamani

Wasanii wa siku hizi makajanja sana hawana vipaji basi tu kulazimisha fani kwa migongo ya wasanii wa zamani. Nyimbo zao wakitynga zinadumu wiki moja au mbili ishaisha utamu
Mtu anakwambia katunga verse baada ya kusikilizishwa beat unatarajia huo wimbo utadumu kwa siku ngapi.
 
Mie huwa najiwazia kwani ni lazima kurudia wimbo wa mtu ambao ulishaimbwa sababu mwisho wa siku ndio hizi seke seke zinatokea.

Yetu macho na masikio wacha tuone mwisho ni nini.
its called tribute lady
hata nchi za nje ipo sana ni kawaida
 
Laki 8 siyo fair wao kupitia iyo nyimbo wanaingiza mamilion ya pesa waache ujanja wa wape wazee kinachostahili....mfano mimi kwenye iyo nyimbo napenda tu kile kipande cha mwanzon pengine ua sisikilizi
 
Haya Mke Wa Ruge kamwingiza mkenge mwenzie, maaan Aslay anajua kuimba na kutunga , na Nandi kazid hata za Ray C anaziiimbaga jukwaani
Mke wa Ruge?Hilo nalo neno.Nimekupata.Kazi kweli kweli
 
Mkuu naomba nisaidie kujua hati miliki unavo kuwa . Je kigezo cha utunzi na nikaimba mm mwenyewe nyimbo haitoshi kunipa hati miliki?
 
HV MTU akidai chake ni dhambi!??? Maaan wasanii ni wazur Wa Lusaka hati miliki, inakuaje wanaibia wasanii wenzao, au hy hati miliki ni ya vijana tu wazee haiwahusu

Walilipwa mkuu, sema wanasema kwamba wamelipwa pungufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…