Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu ndicho ulicho kiona🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Naona aliyevaa sare za ccm kanuna kweli
Salam ziwafikie...Sifa hizo waachie wahaya na wakongo
Store Kuna sahani, vijiko, jiko, nguo, maji, sufuriaUkitoka hapo unaenda kulala zako kwenye kastoo kako kimya kimya.
Ki English na kingereza 🤣🤣🤣🤣😂🤣😂🤣Hivi kiswahili cha PUB itakuwa ni BAR eti?
Na mtungi wa gasStore Kuna sahani, vijiko, jiko, nguo, maji, sufuria
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
and 100 others Sina Cha kukoment kwasabb umesema &100 others......personally would go to a bar to just get a drink,ila siku hizi bar nyingi vinywaji ni overpriced so I'd rather just go to the damn liquor store to buy a tall can of beer/sixer.
kwa swali lako watu wengine wanakwenda kutafuta social interaction au sexual partners, so lazima avimbe kimtindo aonekane si mnyonge. Hii inamrahisishia kupata anachohitaji.
Kwa maoni yangu lakini.
Mtungi wa gesi oyéeeeNa mtungi wa gas
🤓🤓🤓🤓 Kwa nini?Ila isiwe eneo unaloishi
Fafanua mpk standard 7 waelewe 😔😔Shidaaaaaa kubwaaaa