Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Acha kabisa! Sehemu za starehe zinasitiri mengi.Store Kuna sahani, vijiko, jiko, nguo, maji, sufuria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa! Sehemu za starehe zinasitiri mengi.Store Kuna sahani, vijiko, jiko, nguo, maji, sufuria
Haahaa 🤣😂😂🤣Napenda sana mtu uende PUB halafu watu wakuone kwa meza inavyojaa na inavyotumia sio kwa kelele mingi kisha mezani kuna bia za elf 30 ,wanakera sana
Haahaa,Yap Mhimili lazima ujulikane hakuna kukaa KINYONGE....dadek unakunywa IGO mpaka mwenye henkenini anapigwa raundi mhudumu tipu ya nguvu ...yaani akileta ankara mpaka namba yake ndani ...hahaha ndani ya Zepikinik A town
Next time ukitimba wahudumu wanakugombania ...teh teh dadiii dadiii unakunywa nini leo...kimoyo moyo bichwa hilooo...
🤣🤣🤣🤣 asubuhi ukiamka unajisachi mara tatu tatu...unasingizia chuma ulete yani hata vocha ya jero huwezi nunuwa wakati waleti ilikuwa na laki nne.....ila chakushangaza hukomi zikiingia tu unarudi kulekule kutangaza VITA!!!!Haahaa,
Zisiwe pesa za mawazo
Kuna brother angu mmoja
Anatumia pesa mpaka kesho ana gongea BUKU.....
Balaa kubwa sana mtu ana singizia chuma ule....wakati yeye ndie chuma ulete wa MAISHA yake.....🤣🤣🤣🤣 asubuhi ukiamka unajisachi mara tatu tatu...unasingizia chuma ulete yani hata vocha ya jero huwezi nunuwa wakati waleti ilikuwa na laki nne.....ila chakushangaza hukomi zikiingia tu unarudi kulekule kutangaza VITA!!!!
Haaahaa,yule aliyevaa shati la kijani siyo mwana sisiem kweli?
Ukifulia utashindwa kupita hata jirani na hiyo sehemu🤓🤓🤓🤓 Kwa nini?
Mtoto halali na helaUkifulia utashindwa kupita hata jirani na hiyo sehemu
😀😀😀😀 amenuna kwa sababu anashangaa huyo wa rangi ya zambarau ACT maendeleo anapata wapi pesa wakati yeye ndio chama tawala wameshika nchi hana kitu.Naona aliyevaa sare za ccm kanuna kweli
Mkuu mwarobaini na alovera ni DAWA Ila ni chungu sana...😊😊Mimi ni mdau wa hii hali lazima nichangie.Kitendo cha mtu kuamua kwenda kwenye bar lazima utakuwa umejipanga na nyumbani umepaacha vizuri.Kwa mimi maana ndo starehe yangu lazima nieende sehemu kuna mchanganyiko wa watu wengi kama bia ingekua tamu ningenunua ninywee nyumbani.
Hiyo ndio starehe ya mtu huwezi kumuingilia mtu wewe kama ni bahili kaa nyumbani na soda yako kwa kawaida ng'ombe akivunjika mguu anakimbilia zizini.Wewe kama huna hela lala nyumbani kwako acha sisi tuzitumie na kesho tunafuta zingine tena kikubwa tu tutumie akili sana sio watoto wamefukuzwa shule hakuna ada,wanashinda na njaa nk.
Haahaa, 🤣🤣😂😂🤣🤣Walevi wanawauliza wanaokunywa chai kwamba tokea waanze kunywa chai wamepata faida Gani.
Nanukuu,Wasio na kitu ndo huwa wanajitutumua siku zote.
Haahaa,😀😀😀😀 amenuna kwa sababu anashangaa huyo wa rangi ya zambarau ACT maendeleo anapata wapi pesa wakati yeye ndio chama tawala wameshika nchi hana kitu.