connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Andika wosia kabisaNgoja nile cha mchana kwanza kaka 😂 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika wosia kabisaNgoja nile cha mchana kwanza kaka 😂 😁
Una maana waendelee kupotezwa mmoja mmoja tu wakiwa kimya?CHADEMA wasubiri uchaguzi tu. Waache kubwatuka
Yaani maandamano ya kutengenezwa kwa utekeja wa kutengenezwa ili chadema iandamanishe watu kufuatana na mpango wa ubeberu wa marekani kuyumbisha nchi kududi kuiondoa ccm madarakani.Yeyote atakayeshiriki maandamano basi amejitoa sadaka Kwa vyombo. Asije kulaumu baadae.
Unaambiwa samiamustgo, nenda kamtoe raisi madarakani halafu huulizi anakuja nani? Atafanya nini? Ukienda ukavunjwa miguu ni ujinga wako.
Kwanini boda mkuu? Kama ishu ni kuniombea ajali si hata kujikwaa inawezekana mtu ukavunjika. Huoni unalaani na dereva wa watu ambaye wala hausiani na mtazamo wangu?Boda itavunja mguu wako soon
Me lazima niandamaneHata kwa kulipwa siandamani ng'oo 😂
Cassnzoba
Gifted Girl
sweery
Alice_
Vincenzo Jr
Fake P
kipanga85
Niwaheri
Tena nikifa si ntapumzika na shida za Dunia ww unaongea ukiwa dodoma ebu ukooandamana at your own risk Unaijua SHOOT TO KILL
Mkuu sifa moja ya mpumbavu ni kutojitambua,achana nae.Acha kuwatia hofu watanzania wewe ni dikteta, acha mambo ya hovyo.
Woga eeeh weka pua tu wewe ambaye si mwogaWacha uoga wewe
We kwa mfano unaweza kumsikiliza mtu mwenye madai ya kipumbavu kama hayo ya kukwambia you must go???? Where, how, when, which procedures?? Hizo ni bange! Acha waende wakatandikwe haswaaa!! Na ninasema vijana wa FFU watandikeni haswaaa!Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
Una comment ma ujinga yako hapa, kesho upo chumbani kwako kimyaa!! Unawasakizia watoto wa watu!! Nyambaf!!Ongea na mkeo na wanao, hao ndio wako chini Yako,
Huna uwezo wa kumuamulia yeyote juu ya kuandamana au kutoandamana.
Wazuie wanao Ili wasitoke,Una comment ma ujinga yako hapa, kesho upo chumbani kwako kimyaa!! Unawasakizia watoto wa watu!! Nyambaf!!
Jaribu, halafu kesho muda kama huu upostWazuie wanao Ili wasitoke,
Waliotekwa wakiwa majumbani mwao wengine kuuwawa, Wala hawakuwa wakiandamana.
Maandamano ni njia Bora zaidi kuzibua masikio ya viongozi viziwi Ili kuchukua hatua stahiki.