Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye huyo mbowe atakuwepo pale mnazi mmoja kuyapokea hayo maandamoMbowe awe mstari wa mbele, asijifiche alafu watu wanaumizwa yeye asije maandamano, maana Mbowe ndio katangaza maandamano, tahadhari kubwa ishatolewa, ni marufuku kuandamana bila kibali cha polisi, mtu mbabe aandamane hiyo kesho, kilio kitakuwa kikubwa sana
Haa 😂Aaaah wapi huo ni uwongo kipaji dj
Nenda katetee nchi sio watuMe lazima niandamane
Na usiende, usiende usiende Tafadhali RaynsHata kwa kulipwa siandamani ng'oo 😂
Cassnzoba
Gifted Girl
sweery
Alice_
Vincenzo Jr
Fake P
kipanga85
Niwaheri
Hahaa 😂 Nasikia wanategeana nani alianzisheHali ni shwari. Hakuna maandamano
Ukifa babe 😍 me nitaishije jaman mbona hunijaliiii 😊😊😊Tena nikifa si ntapumzika na shida za Dunia ww unaongea ukiwa dodoma ebu ukoo
Hayo ndio Yatakuwa maandamano ya kweli na sio haya ya Wahuni!Sijui km kesho patakua na maandamano ila ..tu akili zangu zinaniambia kuna siku haina jina wala saa.. hakuna anae jua watu wataingia wenyewe barabarani bila hata kuambiwa na chama chochote.
Viongozi matumizi ya nguvu siku zote hua mwisho wake mbaya kama chadema wana hoja wasikilizeni hii nchi ni yetu sote machafuko yakija hata sisi tusio mashabiki wa vyama tutateseka wote maana hakutakalika tena si kwa chadema wala ccm na act.
Tuiweke Tanzania mbele tuache mabavu tunakoelekea si kuzuri hata kichaa tu anaona.
😂 sifii nimejifungia ndan leoUkifa babe 😍 me nitaishije jaman mbona hunijaliiii
Imekula kwako mjumbe. Hamuwezi beza juhudi za kupambana na umwagaji damu mkawa salama Yuko Mungu. Ubarikiwe sana.Kwanini boda mkuu? Kama ishu ni kuniombea ajali si hata kujikwaa inawezekana mtu ukavunjika. Huoni unalaani na dereva wa watu ambaye wala hausiani na mtazamo.
Kama ni MUNGU huyu huyu tunayemwabudu basi ntamalizana naye. Au ni mungu wa kwako mwenyewe tofauti?I
Imekula kwako mjumbe. Hamuwezi beza juhudi za kupambana na umwagaji damu mkawa salama Yuko Mungu. Ubarikiwe sana.
Babe miss you😂 sifii nimejifungia ndan leo
Mimi nimekumiss wewe na hiyo nanliu apo 😂😂😂Babe miss you