Atakayehujumu Coastal Union dhidi ya Yanga kupigwa albadri

Atakayehujumu Coastal Union dhidi ya Yanga kupigwa albadri

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.

Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.

Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.

Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
 
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.

Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.

Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.

Taadhali hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa,wachezaji na viongozi.
Wazee wapuuzi Hao Yani Wana muhusisha Mwenyezi Mungu Na mambo ya kipuuzi. Ukisikia shirki ndio HII sasa
 
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.

Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.

Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.

Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
Yanga hawezi kutoka mkwakwani
 
Costal watengeneze timu Mambo ya Albadil katika mpira wa kisasa haita wasaidia, ikiwa Simba wali paki basi na kushangilia sare wao wajiandae na kipigo tu hakuna Namna.
Kama Namungo sio?
 
Costal watengeneze timu Mambo ya Albadil katika mpira wa kisasa haita wasaidia, ikiwa Simba wali paki basi na kushangilia sare wao wajiandae na kipigo tu hakuna Namna.
mkuu Umesahau kwamba mdaka mishale nusra akatae kurudi golini baada ya kombora la Kanoute kutaka kumpasua mifupa? Umesahau jinsi mwamnyeto alivyokuwa anamnong'oneza refa amalize mpira huku akiwa amelala chini baada ya vyenga na kosakosa nyingi za magoli ktk lango ya utopolo?
 
Yanga Mkwakwani hawatoki,lazima watage tu hakuna jinsi na ndiyo watakapo anza kucharazana bakora. Msimu uliopita Nugaz alirusha ngumi baada ya kufumuliwa 2 - 1,vijana wa Mangush siyo watu wazuri kwa Uto
 
Back
Top Bottom