Atakayehujumu Coastal Union dhidi ya Yanga kupigwa albadri

Atakayehujumu Coastal Union dhidi ya Yanga kupigwa albadri

kama walipaki basi kwanini yanga hawakubuni mbinu mbadala kuwavuta wafungue ili mfunge ,mbona unakuwa zezeta hivo
Nyie simmetoa nao sare dar sasa huo mdomo unatokea wapi? subirini show ya wanaume
 
Hiyo nguvu wangekuwa wanaitumia kwenye ligi yote wangekuwa mabingwa,ila Kwa huo upuuzi wataendelea kushuka na kupanda daraja
 
Makolo bhana...

Sijui huwa yanaangilia mechi za Makolo Queen ndo maana hawafahamu nini huwa kinaendelea kwenye ligi yetu!!

Akiwa kwao Coastal Union mara nyingi anachopata ni sare na sio ushindi!! Over the past 10 years, Coastal ameshindwa kwao mara 3 TU dhidi ya Timu la Wananchi, na mamechi mengi ana-force draw! Na mwaka huu, hata hiyo droo yenyewe atafanya kuisikia tu!

Mtu anatandikwa halafu Makolo mrudi hapa muanze kulia lia kuhusu GSM as if huyo GSM kaanza kuidhamini Coastal msimu huu!!
 
Siasa za Yanga na Simba msimu huu nimekuwa na sura ya tofauti sana. Kuna mashabiki wapo tayari hata ku-sacrifice vipato vyao ilimadi wapate nafasi ya kuiandika/kuisema vibaya Yanga
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.

Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.

Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.

Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
 
Hao Coastal Mwaka Huu Kwisha Habari Yao Palepale Mkwakwani Inabidi Tufe Nao.
 
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.

Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.

Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.

Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
Usiadaike kijinga hao hao wazee ndo watakaoisaidia Yanga kushinda,kwanza aliyekudanganya albadili na vitu haramu vinaendana nani???
 
Kweli naamini Yanga ni Timu kubwa Tz hii,, yaan ana mechi siku kadhaa mbele Ila match imekuwa moto na Kila Kona inazungumziwa Hali ya kuwa Leo Kuna fainali ya Mapinduz huko na inaendelea hv Sasa Ila hata Haijadiliwi..
Poleni sana Makolombwezo FC
 
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.

Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.

Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.

Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
Yaani na wewe unaleta habari za ushirikina kishabiki humu JF?
 
nimecheka kuna video ina trend walivyorudi toka Zanzibar pale bandarini walipokelewa na jagi (Kama kombe) huku wakizomewa.
mashabiki wa Simba hao....ila msimu uliopita Yanga walivyorudi walijifungia ndani,raha ya hili kombe mfunge kubwa jinga [emoji881][emoji16]
 
Kweli naamini Yanga ni Timu kubwa Tz hii,, yaan ana mechi siku kadhaa mbele Ila match imekuwa moto na Kila Kona inazungumziwa Hali ya kuwa Leo Kuna fainali ya Mapinduz huko na inaendelea hv Sasa Ila hata Haijadiliwi..
Poleni sana Makolombwezo FC
Wa tz wote timu yetu Yanga huku kwingine tupo tu kuchangamsha vijiwe lkn wote sisi ni wananchi [emoji169][emoji172]
 
Back
Top Bottom