Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Utopox lazima wakae tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amesahau kipa wao alivyokuwa akijilaza kuombea mpira uishekama walipaki basi kwanini yanga hawakubuni mbinu mbadala kuwavuta wafungue ili mfunge ,mbona unakuwa zezeta hivo
Nyie simmetoa nao sare dar sasa huo mdomo unatokea wapi? subirini show ya wanaumekama walipaki basi kwanini yanga hawakubuni mbinu mbadala kuwavuta wafungue ili mfunge ,mbona unakuwa zezeta hivo
show gani tena?kupiga penati kutoka Zanzibar hadi Dar es salaam bandarini?Nyie simmetoa nao sare dar sasa huo mdomo unatokea wapi? subirini show ya wanaume
shuti moja la kanuti hadi akasikia kizunguzunguamesahau kipa wao alivyokuwa akijilaza kuombea mpira uishe
Lakini hamjacheza nao Final bado? weka akiba ya manenoshow gani tena?kupiga penati kutoka Zanzibar hadi Dar es salaam bandarini?
hamna haja ya akibaLakini hamjacheza nao Final bado? weka akiba ya maneno
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.
Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.
Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.
Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
Albadri haihusiani na MunguWazee wapuuzi Hao Yani Wana muhusisha Mwenyezi Mungu Na mambo ya kipuuzi. Ukisikia shirki ndio HII sasa
Usiadaike kijinga hao hao wazee ndo watakaoisaidia Yanga kushinda,kwanza aliyekudanganya albadili na vitu haramu vinaendana nani???Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.
Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.
Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.
Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
Yaani na wewe unaleta habari za ushirikina kishabiki humu JF?Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.
Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.
Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.
Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
mashabiki wa Simba hao....ila msimu uliopita Yanga walivyorudi walijifungia ndani,raha ya hili kombe mfunge kubwa jinga [emoji881][emoji16]nimecheka kuna video ina trend walivyorudi toka Zanzibar pale bandarini walipokelewa na jagi (Kama kombe) huku wakizomewa.
Wa tz wote timu yetu Yanga huku kwingine tupo tu kuchangamsha vijiwe lkn wote sisi ni wananchi [emoji169][emoji172]Kweli naamini Yanga ni Timu kubwa Tz hii,, yaan ana mechi siku kadhaa mbele Ila match imekuwa moto na Kila Kona inazungumziwa Hali ya kuwa Leo Kuna fainali ya Mapinduz huko na inaendelea hv Sasa Ila hata Haijadiliwi..
Poleni sana Makolombwezo FC
Na wakicheza bila makandokando hawawezi kushinda mechi yoyote hao na kikosi chao cha Kauka nikuvaewakicheza bila makandokando hatuna shida