Atakayehujumu Coastal Union dhidi ya Yanga kupigwa albadri

Atakayehujumu Coastal Union dhidi ya Yanga kupigwa albadri

NYENYE
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.

Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.

Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.

Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
NYE NYE NYE
 
Wazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.

Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.

Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.

Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
Upewe ulinzi usije jidhuru huu mwaka mbaya sana kwako
 
hoja yako ni ipi,kwamba hujuma mmefanya na albadri haijawapata,ama vipi? au ndo una mahaba na mimi ukinikumbuka tu unanifuata mbele mbele
Nna mahaba na wewe? [emoji35][emoji35] hayo mambo kafanye huko na wanaharamu wenzako upo comfortable kabisa kubambiwa na msela!?
 
Nna mahaba na wewe? [emoji35][emoji35] hayo mambo kafanye huko na wanaharamu wenzako upo comfortable kabisa kubambiwa na msela!?
nimeona unanifatafata(tofauti na mada) nikajua unataka nikufanye kama anavyofanywa Kabwili na msukule
 
Kweli naamini Yanga ni Timu kubwa Tz hii,, yaan ana mechi siku kadhaa mbele Ila match imekuwa moto na Kila Kona inazungumziwa Hali ya kuwa Leo Kuna fainali ya Mapinduz huko na inaendelea hv Sasa Ila hata Haijadiliwi..
Poleni sana Makolombwezo FC
Yanga ni Timu Kongwe yaani ina urefu tu wa umri, na ndo maana kwa ubora imetupwa mbali mno, kwahivyo haina faida kwa Taifa hili.

Timu Kubwa na Bora Afrika, na Afrika Mashariki na Kati ni Simba SC, yeye kuleta TANZANIA matokeo chaya Kimataifa.
 
Screenshot_20220122-133552.jpg
 
Back
Top Bottom