Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
NYE NYE NYEWazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.
Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.
Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.
Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
kwa hiyo ushindi ulikuwa wa hujuma? au unataka tu umaarufu kupitia kwangu?NYENYE
NYE NYE NYE
Simba mnaweweseka sana baada ya YANGA kutandaza soka safi pale mkwakwanikwa hiyo ushindi ulikuwa wa hujuma? au unataka tu umaarufu kupitia kwangu?
Upewe ulinzi usije jidhuru huu mwaka mbaya sana kwakoWazee wa Coastal Union wametoa tamko kwa umma kwamba yeyote atayeihujumu Coastal Union kwenye mechi ya Yanga watamkabidhi kwa Allah.
Rai hiyo imetolewa kwa yeyote anahusika kuanzia uongozi wa Yanga, refa wa mchezo, wachezaji na viongozi wa Coastal na mtu yeyote yule.
Wazee wamesema watafanya Albadir itakayomdhuru mhusika.
Taadhari hiyo imekuwa baada ya club ya Yanga kuonekana kuwekeza kwenye hujuma ya kuhonga marefa, wachezaji na viongozi.
jibu swali,kama umejishtukia kaushaSimba mnaweweseka sana baada ya YANGA kutandaza soka safi pale mkwakwani
hoja yako ni ipi,kwamba hujuma mmefanya na albadri haijawapata,ama vipi? au ndo una mahaba na mimi ukinikumbuka tu unanifuata mbele mbeleUpewe ulinzi usije jidhuru huu mwaka mbaya sana kwako
Nna mahaba na wewe? [emoji35][emoji35] hayo mambo kafanye huko na wanaharamu wenzako upo comfortable kabisa kubambiwa na msela!?hoja yako ni ipi,kwamba hujuma mmefanya na albadri haijawapata,ama vipi? au ndo una mahaba na mimi ukinikumbuka tu unanifuata mbele mbele
nimeona unanifatafata(tofauti na mada) nikajua unataka nikufanye kama anavyofanywa Kabwili na msukuleNna mahaba na wewe? [emoji35][emoji35] hayo mambo kafanye huko na wanaharamu wenzako upo comfortable kabisa kubambiwa na msela!?
Nakufata nyuma usiogope mimi sio mendenimeona unanifatafata(tofauti na mada) nikajua unataka nikufanye kama anavyofanywa Kabwili na msukule
najua wewe sio mende bali ni mtoa jicho wa kuliwa kama mbogaNakufata nyuma usiogope mimi sio mende
Na yule aliehujumu Simbwa ikakalia kimoko kutoka Mbeya City nae mmefanyaje?kwa hiyo ushindi ulikuwa wa hujuma? au unataka tu umaarufu kupitia kwangu?
Yanga ni Timu Kongwe yaani ina urefu tu wa umri, na ndo maana kwa ubora imetupwa mbali mno, kwahivyo haina faida kwa Taifa hili.Kweli naamini Yanga ni Timu kubwa Tz hii,, yaan ana mechi siku kadhaa mbele Ila match imekuwa moto na Kila Kona inazungumziwa Hali ya kuwa Leo Kuna fainali ya Mapinduz huko na inaendelea hv Sasa Ila hata Haijadiliwi..
Poleni sana Makolombwezo FC
Mmechukua Kombe gani Kimataifa?Yanga ni Timu Kongwe yaani ina urefu tu wa umri, na ndo maana kwa ubora imetupwa mbali mno, kwahivyo haina faida kwa Taifa hili.
Timu Kubwa na Bora Afrika, na Afrika Mashariki na Kati ni Simba SC, yeye kuleta TANZANIA matokeo chaya Kimataifa.
Kimoko cha Mbeya bado kinauma, Nonga sio mtu poanajua wewe sio mende bali ni mtoa jicho wa kuliwa kama mboga
POLE SANA DOGOOjibu swali,kama umejishtukia kausha
mimi sio dogo naweza kuzaa na dada yako mkubwa unapoishiPOLE SANA DOGOO
unaweweseka na kujishtukia mdogoo, polemimi sio dogo naweza kuzaa na dada yako mkubwa unapoishi