Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Ungeongeza kuwa ilisaidia pia kampeni za Rodham ingawa alishindwa na Dolnald.
 
Apo umenena mkuu watu wengi ni wanafki saana afu wanajifanya wameshika dini ndo maana sisi wngne wanatuweka njia panda kwanza hayo maarabu yana roho mby sana tangu enzi za utumwa halafu yanatuambia tuffuate dini
We wacha chuki za kidini... Historia ya utumwa unaijua???
 
Vita ya kiuchumi na kisilaha kati ya Iran na Saudia haijaanza leo wala haijaanza miaka 100 iliyopita wala miaka 1000 iliyopita, hawa watu ni mahasimu wakubwa na siku zote wanafanyiziana tu.

Why leo kuingilia migogoro isiyotuhusu wakati inayotuhusu hapa Burundi na Zanzibar imetushinda?? na ni migogoro ya juzi juzi tu
Iran na saudia tangu lini wakaelewana kila mtu anamtafutia mwenzake propaganda tu ya ubaya.yaani bora tuangalie ya kwetu hapa.
 
Saudi itaanguka yenyewe. Nchi inaongozwa kwasheria za miaka ya ujima. Ukooo wa kifalme ndio wana haki. We gine wote nikama mahouse boys. Ssaudi hata misri ambao ni wa sunni wenzao awawa-support kutokana wanvyowanyanyasa shia kwao ba hasa baharein na yemmen huku wa kijua kuna iran inayozidi kua na nguvu
Nchi yako inayoongozwa kwa sheria za kisasa mmefikia wapi ktk kujinasua na ufukara walau uhakika wa kupata mlo (wa kawaida) wa siku kwa kila raia? Usizungumzie huduma za kijamii wala matibabu.
 
Saudi taifa lenye kila baraka toka juu
 
Taifa teule lenye miji mitakatifu ya MECCA na MADINA pia wamejitoa kindakindaki kusaidia nchi maskini nyingi toka barani Afrika zikiwemo Somalia, Sudan hata Uganda. Heshima kwenu ndugu zetu wa DAMU wana Saudi Arabia. Italia jifunzeni toka Saudi Arabia.
Tofauti ya Italia na Saudi Arabia ni hii; Italia ni inchi inayojiategemea na kujiangalia yenyewe wakati Saudia ni nchi kibaraka wa USA, na ndio upenyo wa US kufanya mambo yake huko mashariki ya kati... Nadhali Trump ana ziara hivi karibuni kwenda kuimalisha uhusiano na kibaraka wake, ambaye huwa yuko against na nchi zingine za kiarabu.. Sasa kwa taarifa yako Italy hawana cha kujifunza kwa Saudia, hata sisi tu TZ hatutakiwi kujifunza kwa hao wanafiki kwa Waislamu wenzao.
 
We unaongea utumbo mtupu na unamahaba na saudia ila kumbuka kwamba waarab mwenzao anapopigwa wao atahawamsaidii kaz kupiga kelele tu mfano afaghanstan Iraq Libya na hata syria mmarekan anawanyoosha vilivyo nakuwanyonga hao,miungu watu wao gaddafi saadam Osama mchana kweupe hao,palestina ndio haswaaa ni kuku wa kafara kwa waisrael kilasiku wanadundwa shida kubwa,ya waarab ni unafki ndo mana wakimbz wa syria wanaenda kuokota makombo kusafisha vyoo nchi za maGharib huku warab wenzao hawawap hifaz hiyo saudia haina lolote ni swala la muda tu kabla haijawa magofu
 
eti mtu mweusi anakaa na kashina mandondo anaaandikq kwamba atailind saudi. Unathani wao wako tayari kuilinda Tanzania. Manina sijui weusi tuna laana gani
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.

Mtamfuta nani kwenye uso wa dunia nyinyi watu mnafungiwa ndani na viteja vya panya road wa Tandale?
 
Bravo Saudia. Tupo pamoja, Endelea kutusaidia tende nasi tunakuletea wajakazi. Endapo taifa lolote litaleta chokochoko tutaarifa tutamnyamazisha.
 
Back
Top Bottom