Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Karibu Saudia taifa teule Mhe. Tramp
 
Saudi ni kibaraka wa USA. Bila USA Saudi tunayoijua sasa hivi isingekuwepo .
Wewe ni kibaraka wa nani? Dunia hii imejaa unafiki mtupu kila mtu ana kibaraka wake, unadhani kwa nini Bashite ana-survive?
 
hivi taifa teule la MUNGU ni saudia arabia au israel???

msije kesho mkatuambia koromije ni kijiji teule maana daa
 
Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Marekani Haimkubali Msaudi anachokilinda ni maslahi Yake.
 
Saudi Arabia ni nchi ambako kuna misikiti mitakatifu ya Maka na Madina. ..
Lakini watawala wake ni mafisadi na magaidi wakubwa duniani hakuna msaada yeyote duniani inawezekanaje wakatumia dola milioni 70 kwa shughuli za ziara ya siku 2 ya Rais Donald Trump wakati mamilioni ya wakimbizi kutoka Syria wanakufaa baharini na kwenye makambi ya wakimbizi Uturuki. Hao wasaudi wanaua innocent victims huko Yemen..
To takwimu kiasi gani cha msaada wameshawahi kutoa kama sio kufadhili ugaidi
Kwa kumalizia Saudh Arabia wananchi ndio wataondoa serikali hiyo madarakani kwani kwasasa mgogoro mkubwa unafutuka ndani ya familia hiyo ya kifalme.
 
Huahitaji kuwa na elimu kubwa kufahamu kuwa Saudi Arabia itapigwa muda si mrefu.
Nitafurahi tena sana Saudi Arabia ikipigwa ....wanafiki sana wako na viongozi wao kwa kushirikiana na shwain .....na kuufedhehesha uislam.....Allah....watoe kwenye mwanga wafalme wale......Iran piga hao
 
Halafu huu ugomvi ni wa KIIMANI zaidi wale wenye historia ya makureshi watakuwa wanajua zaidi.Una harufu ya kugombea mamlaka katika dini
 
Jamaa anasema 'wametoa misaada matrioni ya dola' mi sijui unaelimu gani, ila unajua unachokisema? Au umejisahau unafananisha na hela ya tz? Hii siyo Facebook, hebu tueleze matrion mangapi ya dola yameshatolewa?
 
Wasaudia weusi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Saudi Arabia imejiimarisha kiuchumi, na kila mwaka inachuma mabilioni ya dola toka hijja, hivyo ni wajibu wao kusaidia nchi maskini kama zetu. Hizo nchi za magharibi ni wabinafsi hakunaga
 
kwa hiyo mkuuu mmejipanganje kuwabomoa hao watkaoigusa Saudia?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] madhara ya viroba kupigwa marufuku watu wanathink below human standard
 
Back
Top Bottom