Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani Haimkubali Msaudi anachokilinda ni maslahi Yake.Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Nitafurahi tena sana Saudi Arabia ikipigwa ....wanafiki sana wako na viongozi wao kwa kushirikiana na shwain .....na kuufedhehesha uislam.....Allah....watoe kwenye mwanga wafalme wale......Iran piga haoHuahitaji kuwa na elimu kubwa kufahamu kuwa Saudi Arabia itapigwa muda si mrefu.
Wasaudia weusi[emoji3] [emoji3] [emoji3]Saudi Arabia hatuoni misaada ikija huku afrika zaidi ya tende tena mwaka mwezi mmoja tu, kulikoni??
cc. Wasaudia Weusi waliopo Pwani ya Tanganyika & Zenji.
Saudi Arabia imejiimarisha kiuchumi, na kila mwaka inachuma mabilioni ya dola toka hijja, hivyo ni wajibu wao kusaidia nchi maskini kama zetu. Hizo nchi za magharibi ni wabinafsi hakunagaWasaudia weusi[emoji3] [emoji3] [emoji3]
CorrectSaudia sio takatifu ila INA maeneo takatifu. Na wala haiongozwi kiislamu Bali na walfame wanaofuata dini ya kiislam.