Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Naona siku hizi msimamo wako umebadirika unaona huu uzi ni pumba wakati ume_like sana comments za Joshua ngoja nifukue makaburi ukome
Eti Nikome Khaaa!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
 
Note my words... Mungu adanganyi, haitotokea hata cku moja ikapigwa saudi arabia... Mi naamin hivo 7b Mungu kaahid hilo... Na ndo mana saudi arabia inalibdwa na nchi za magharib
Mungu gan mkuu wakat MUNGU ndio alo ahidi kama Qaaba ita haribiwa kabisa ama umeasahau mkuu ama hujawah sikia hili ?!
 
Hadi Raha adui mkubwa wa nchi za kiislamu ni waislamu wenyewe
 
FACTS MKUU
 
kwa hiyo mkuuu mmejipanganje kuwabomoa hao watkaoigusa Saudia?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] madhara ya viroba kupigwa marufuku watu wanathink below human standard
Hehehehe[emoji2][emoji2][emoji23]
 
Kwa maoni yangu, mtoa mada nadhani umejichanganya kidogo.
Umeorodhesha nchi kadhaa zilizopata misaada kutoka Saud Arabia.
Kama nchi iliyotoa misaada imekula KICHAPO na haijaweza kulipa kisasi, je, nchi zilizopata misaada zitawezaje kupambana na WABABE?
 
Ongeza sauti wasikie vyema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…