Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
HakikaSaudia siyo nchi ya kiislamu ni nchi ya kigaidi na inaongozwa na magaidi ambao wanakalia kimabavu sehemu takatifu za waislamu ipo siku waislamu watazikomboa sehemu hizo dhidi ya hawa magaidi walioziteka na kuzitawala kwa sasa
Yaani huyu jamaa huja muelewa 2 mkuu [emoji3][emoji3] heheheheInasikitisha sana kwa mtu kama wewe
Kuwatetea watu hawa ambao dunia nzima inajua uovu wao.
Inawezekana ukawa haujafahamu ukweli au unajitoa tu ufahamu
Kunawapenda wananchi wa Saudis lkn sio uttawala wa kifalme wenye kutoa misaada ya tende na mbuzi wa hija kwa waafrika.Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la Saudi Arabia, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya Ulaya (majina kapuni), Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/ afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar).
Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Toa mifano ya misaada kwa Tanzania hususn ZanzibarSudani na Tanzania (hususani Zanzibar)
Nani kasema hili neno wewe au saudia wenyewe au baba lao naona kama neno lenye umamlaka ndani yakeMtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la Saudi Arabia, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya Ulaya (majina kapuni), Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/ afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar).
Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
huyo mumgu mtume wake anasisitiza AOMBEWE mwenye macho na masikio atakuwa amenielewaHivi mataifa teule yapo mangapi? Uteule wake bado upo hadi leo? Huyu mungu huenda naye siyo mungu
Taifa MakinHamna dini kwanza kule.
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la Saudi Arabia, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya Ulaya (majina kapuni), Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/ afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar).
Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.