Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la Saudi Arabia, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya Ulaya (majina kapuni), Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/ afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar).

Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Kunawapenda wananchi wa Saudis lkn sio uttawala wa kifalme wenye kutoa misaada ya tende na mbuzi wa hija kwa waafrika.
Wenye kutumia tri 20 kwa ajili ya vita vya Yemen kwa mwaka pesa ambayo ni mapato ya tz kwa miaka 20.

Tunawapenda wamarekani lkn hatulipendo jinamizi Trump

Tunawapenda mayahudi lkn hatuwapendi wazayuni. Sera ya nje ya mataifa haya yanauzalisha janga la ugaidi duniani.

Kuna umuhimu kwa walimwengu ukafahamu hilo
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la Saudi Arabia, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya Ulaya (majina kapuni), Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/ afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar).

Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.
Nani kasema hili neno wewe au saudia wenyewe au baba lao naona kama neno lenye umamlaka ndani yake
 
Marekani amelikalia kalia taifa takatifu... Akalishika shika mpaka msipotaka pashikwe shikwe... Amewabonyeza bonyeza na kuwaingiza ingizaa... Mumfute kwenye ramani ya dunia tuone
 
Hamna taifa takatifu duniani ..acheni upumbavu wenu
 
Hapa sijaelewa ina maana nyie maskini mnaoishi kwa msaada wa Saudia ndo mtawapiga watakao ishambulia Saudia?
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la Saudi Arabia, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya Ulaya (majina kapuni), Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/ afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar).

Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
** Lazima tulishukuru sana hili Taifa kwa kujitolea kwake, kusaidia nchi maskini.

Tangu nianze kujua kusoma na kuandika cjawahigi ona msaada wa nchi za kiarabu??

Yaan hawa watu n wabinafsi na wachoyo!!... wala hutawasikia wakichangia hata nchi za waislam wenzao zenye majanga!!

Cha ajabu n zile zile nchi za magharibi utazisikia zikisaidia ...nchi ambazo wanavodai hazimjui mungu!![emoji23][emoji23][emoji23]

Wanaomjua sasa[emoji23][emoji23]!! Yawezekana ile hadith zinasemazo mtoto wa ruthi alimsaidi kuficha uchi wa babae ndo alienda maghairib ndo akazaaa wazungu” labda n kwel
 
Akili za kimaskini hizi shida sana. Saudi inakupa msaada wa tende, masahafu halafu unawapelekea mamilioni ya fedha kwenye utalii wa kidini (hijja). By the way, saudia sio nchi takatifu, ila inaeneo linaloaminiwa kuwa 'takatifu'.

Vipi lakini watakatifu wamemchinja na kumtengeneza slice kashoggi! Vipi washaacha kufadhili ugaidi!?
 
Back
Top Bottom