Mungu akubariki kwa kuona mbali.keep preaching the gospel.Myaonayo hayo mjue Mwana wa Adam yu karibu kuja. Take from me Dunia ipembezoni sana tujiandaeni tu kiama ki karibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akubariki kwa kuona mbali.keep preaching the gospel.Myaonayo hayo mjue Mwana wa Adam yu karibu kuja. Take from me Dunia ipembezoni sana tujiandaeni tu kiama ki karibu.
Israeli wasemeje ? tumia akili wwTunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Kweli mkuu. Kuna Maeneo Saudia mdudu ruksaa kugongaSaudi haina maeneo matakatifu bali ina maeneo matakatifu kwa waislam
Hata huku, wako hivyo hivyosaudi arabia aisee hata bure kule siendi nchi imejaa uzandiki ile balaa
Mswalie Mtume SheikhHivi mataifa teule yapo mangapi? Uteule wake bado upo hadi leo? Huyu mungu huenda naye siyo mungu
Namaanisha, kama sio sahihi nisahihishe. Kwa imani yangu, hakuna taifa teule, isipokuwa kuna wateule.Mswalie Mtume Sheikh
Lengo lako hasa nini, unatafuta nini kwa kusema hivyo? saudia inautakatifu gani? Au unataka kushindana na wayahudi kwa umaanisha kuwa waislamu nao wananchi yao takatifu? Kwa nini mnaonekana mnatumia nguvu sana kulinda uislam, nini shida? kweli chema cha jiuza kibaya chajitembeza.saudi arabia aisee hata bure kule siendi nchi imejaa uzandiki ile balaa
Umenena sawa. Ni kweli kabisa Saudia sio nchi takatibu bali ina miji mitakatifu miwili.Saudia sio takatifu ila INA maeneo takatifu. Na wala haiongozwi kiislamu Bali na walfame wanaofuata dini ya kiislam.
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.