Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

Wasaudia weekend wanavuka kwenda BAHRAIN wanakodi Floor nzima ya HOTELI wanapiga MITI mabinti MAKAHABA na KUNYWA POMBE watakavyo, weekend ikiisha haoooo SAUDIA wakavuu & Wepesi. kwa Unafiki WASAUDIA noma.
 
Utakuta jitu lipo IKWIRIRI huko linapiga miayo tu halafu linakandia taifa teule lenye miji mitakatifu miwili MECCA na MADINA . Takbiiiir
maka % madina Ukisema MACCA na MADINA unawapaisha wazungu
 
Saudia mshirika wa marekani na wanamakubaliano ya kupewa ulinzi kama marekani inavyoilinda israeli ni the same kwa saudia. Saudia ana sacrifice mambo mengi kwa wamagharibi kupata ile amani na stability otherwise angekua kama nchi nyengine za middle east. Kuna mambo mengi sana yanaendelea ktk hii dunia
 
Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
ww nani?
 
Siijui hiyo miradi inayofadhiliwa na Saudia.

Kwa mataifa mengine tunafahamu. Kwa mfano Marekani tunajua miradi mikubwa ya barabara na umeme iliyofadhiliwa na MCC, elimu kwa kupitia USAID, JWTZ

Denmark imefadhili sana afya kupitia DANIDA.

Japan ilifadhili miradi ya barabara na ujenzi wa maghala.

Kuwait pia iliwahi kufadhili ujenzi wa barabara na madaraja.

Finland imewahi kufadhili sana UDSM, na miradi mingine ya kijamii.

Israel ndiyo iliyokijenga chuo kikuu UDSM, pia walifadhili miradi ya kilimo, mafunzo ya kijeshi, n.k

Germany kwa miaka mingi imekuwa ikisaidia kitivo cha Uhandisi, mafunzo ya kijeshi, na miradi mingine mingi, etc, etc.
Netherlands imekuwa ikisaidia sana miradi ya kilimo cha umwagiliaji maji.

Uingereza imekuwa ikisaidia maeneo mbalimbali kwenye sekta mbalimbali.

China ilisaidia kwenye mafunzo ya kijeshi, kwenye ujenzi wa reli na viwanda vya nguo

Hiyo Saudia imesaidia nini? Sisemi kusaidiwa ni sifa au mataifa mengine yanalazimika kuisaidia Tanzania lakini tusipende kuyapamba mataifa au watu kwa sifa za uwongo.
Israel pia nd'o ilijenga hospital ya rufaa bugango Mwanza
 
Saudi Arabia ni nchi ya ki-mafia aisee ukiona jinsi wanavyoua watu wa YEMENI huku wakimpa hifadhi rais aliyeondolewa madarakani utajiuliza kunani? pia nilistuka pale walipo-react baada ya kumnyonga mhubiri wa dini na watu kuvamia ubaloz wao Tehran kisha wakadai wamekata mahusiano ya kibaloz na Iran ghafla na wafuasi wao huku Afrika nao (Sudani, Somali n.k) wakafuata nyao za bwana mkubwa bila kuhoji. Aisee mwenye pesa hata akinya mavi yake yataliwa tu kisa pesa.
Si kweli!
 
Tunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?

Hivi Irani kuna dini gani kule
 
Nijuavyo mimi hapo mwanzo taifa teule la Mungu lilikuwa Israel. Sasa baada ya Israel kumuasi Mungu aliliadhibu hilo taifa hata Kristo akaja kwaajili ya ukombozi wa kila mwanadam regardless wa taifa gani. Maana Israel walikuwa wateule na walipaswa kuwa kielelezo cha watu wote but they failed to mantain they special.
 
Hauhitaji kuwa na shahada ya chuo kikuu kuona namna nchi kadhaa zinavyojipanga kuiporomosha Saudia kiuchumi na kiusalama? ikiwemo Iran?
Secrete wasaudi Na Waarabu wengi ni WASHENZI tena sanaaa tu.
Makkah Na Madina ndio peke sehemu Takatifu kwa Waislam.Wafuasi wengi wa dini ya Kiislam wanachanganya kati ya Uarabu Na Uislamu.kuna Waarabu wengi ambao sio Waislam Na Waislam wengi ambo sio Waarabu.
Kwa sababu kuraan tukufu imeandikwa kwa Lugha ya Kiarabu Na Mtume (SWA) alikuwa muarabu:Waislamu wengi wanaona lazima tuwapende Waarabu.
Unawapenda Watu wanao kupendana.
 
Back
Top Bottom