Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Libya mlisema hivyo hiyvo hatimaye mpaka Raisi wake alikamatwa na kuuawa,mpaka leo nchi iko hovyo.Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
Marekani anamkubali Msaudia sababu ni uchochoro wa kutimiza Marengo yake kwenye Mataifa ya Mashariki ya kati,hivyo Msaudia hana lolote la kusema kwa MmarekaniTunaelewa Wanafiki wanatumia Iran kama chambo lakini tunawahakikishia kuwa hakuna atakayeliweza taifa Teule SAudi Arabia katika vita vitakatifu. Marekani mwenyewe anamkubali Msaudia itakuwa nyie mbilikimo msio na shukrani?
Hyo wetu inaniwakilisha na mimi na wengine ambao hawatumii mitandao ya kijamiiUmoja wenu upi?
Wewe ni nani?? Hiyo "wetu" inawakilisha kina nani?
yani we jamaa hata uwezo wa kumchimba mkwara mkeo hauna,hii jeuri ya kutoa hili tamko unaitoa wapi? who r u by the way? freak!Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
Inawezekana ww una matatizo kwenye akili zako.ebu elezea ni mradi gani mkubwa unafathiliwa na saud arabia? Lkn taifa gani takatifu inayowaua raia wasio na hatia (wanawake wazee na watoto)huko Yemen??Mtu yeyote atakayejaribu kuligusa taifa takatifu la SAUDI ARABIA, tutambomoa na kumfuta katika ramani ya dunia. Taifa hili limesaidia watu maskini hususani Afrika na nchi nyingi zinazoendelea kwa misaada ya kijamii/kibinadamu tofauti na mataifa mengi ya ULAYA (majina kapuni) Saudi Arabia imetoa matrilioni ya Dola za Kimarekani katika miradi mbali mbali hususani maji, elimu, hospitali/afya, kwenye mataifa mbali mbali ikiwemo Somalia, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Sudani na Tanzania (hususani Zanzibar). Kwa umoja wetu hatutakubali kuona taifa hili likichezewa na wazandiki na wenye mrengo mbaya.
Taifa teule lenye miji mitakatifu ya MECCA na MADINA pia wamejitoa kindakindaki kusaidia nchi maskini nyingi toka barani Afrika zikiwemo Somalia, Sudan hata Uganda. Heshima kwenu ndugu zetu wa DAMU wana Saudi Arabia. Italia jifunzeni toka Saudi Arabia.