GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
sasa shida huyo diego simione kajiandikisha bima na afya ya nje ya nchi hii ya kwetu eni hechi efu haitakiMafurikoni Vyurani kwa sasa hawana haja ya Augustine kwani wana akina Augustine wa Kutosha, ila kwa Simon wana hitaji nae Kubwa kwakuwa Kwanza Mazingira yote anayajua, Pili katokea hapo na Tatu hata kama asipolipwa hatopiga Kelele sana kwakuwa hata Yeye pia amebebwa sana na hao anaenda Kujiunga nao.
Anatangazwa rasmi Jumapili hii tarehe 31 Desemba, 2023 japo ilitakiwa Atangazwe Jana Alhamisi tarehe 28 Desemba, 2023.
Yeye ni Mwanamichezo mkubwa Kwako na Mtandaoni ila Mimi GENTAMYCINE ni Mwanamichezo mkubwa Mshindi wa Tuzo ya Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa mwaka 2022, Tanzania, Afrika na Duniani kwa ujumla.Mkuu genta? Mbna hata mwanamichezo mkubwa mick jr kasema ni okrah ??
Mick tetes za yanga usimuamini sana
Atacheza tu.Hivi mkuu huyo simoni ataruhusiwa kucheza kilabu bingwa kweli?
Ok....nliwaskia pia wasafi walidhibitishaAtacheza tu.
Kwahiyo ulikuwa huniamini GENTAMYCINE au?Ok....nliwaskia pia wasafi walidhibitisha
Hahahaha, nimependa ulivyomjibu , umemjibu kikubwa sana..wewe una tuzo ..anayesema mkubwa hana tuzo yoyote ktk hili kula TANO KUBWAYeye ni Mwanamichezo mkubwa Kwako na Mtandaoni ila Mimi GENTAMYCINE ni Mwanamichezo mkubwa Mshindi wa Tuzo ya Jukwaa la Michezo ( Sports ) JamiiForums kwa mwaka 2022, Tanzania, Afrika na Duniani kwa ujumla.
Ni Simon na siyo Augustine usinibishie.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!Hahahaha, nimependa ulivyomjibu , umemjibu kikubwa sana..wewe una tuzo ..anayesema mkubwa hana tuzo yoyote ktk hili kula TANO KUBWA
Yani ni kama mpo kwenye vijiwe vyenu vya umbea mnajisimuliana wenyewe.Mafurikoni Vyurani kwa sasa hawana haja ya Augustine kwani wana akina Augustine wa Kutosha, ila kwa Simon wana hitaji nae Kubwa kwakuwa Kwanza Mazingira yote anayajua, Pili katokea hapo na Tatu hata kama asipolipwa hatopiga Kelele sana kwakuwa hata Yeye pia amebebwa sana na hao anaenda Kujiunga nao.
Anatangazwa rasmi Jumapili hii tarehe 31 Desemba, 2023 japo ilitakiwa Atangazwe Jana Alhamisi tarehe 28 Desemba, 2023.
Yule ni muandishi km waandishi wa bongo ? Asiwavuruge na kidhungu kile ...naona kawamata kweli wabongo hasa simbaMick tetes za yanga usimuamini sana
Idiot.Popoma acha kupotosha
Hatukati jukwaa la sports
Endelea kupost huku kwa mafumbo
Hutakuja tena jukwaa la sports hadi uniombe radhi nikufungulie