GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mafurikoni Vyurani kwa sasa hawana haja ya Augustine kwani wana akina Augustine wa Kutosha, ila kwa Simon wana hitaji nae Kubwa kwakuwa Kwanza Mazingira yote anayajua, Pili katokea hapo na Tatu hata kama asipolipwa hatopiga Kelele sana kwakuwa hata Yeye pia amebebwa sana na hao anaenda Kujiunga nao.
Anatangazwa rasmi Jumapili hii tarehe 31 Desemba, 2023 japo ilitakiwa Atangazwe Jana Alhamisi tarehe 28 Desemba, 2023.
Anatangazwa rasmi Jumapili hii tarehe 31 Desemba, 2023 japo ilitakiwa Atangazwe Jana Alhamisi tarehe 28 Desemba, 2023.