Atakayetoa taarifa sahihi ya kupatikana Mzee Michael Juma, zawadi Tsh 500,000/ au zaidi

Kwani mama Anna na Anna wanasemaJe ?!. Na wako wapi ?
Mama Ana na Ana(mwanao wa kwanza)pia hatuna taarifa juu yao Ndo maana swala linakuja gumu maana aliondoka aliondoka nao kurudi masasi.Na toka apo hatujui taarifa zao kabisa Ndo maana pia nimemtaja Ana Kama yupo umu Ana watoto wake wanawezakuwa umu wakasoma. Na kupata A,B,C
 
🤣🤣ko sababu wajukuu wanamtaka babu ahaha daa yaani kama tuu baba yao hamjui baba yake ila watoto wanataka babu hao watoto inaonekana wamedekezwa saaan
Wewe unasema tena, hujui maumivu ya kuwa na historia iliyokatika.... HILO SWALI LA WATOTO LINAMUUMIZA SANA BABA YAO NDIYO MAANA YUPO RADHI KUTOA HELA ILI KUUNGANISHA NASABA....

KAMA SIYO MUISLAM ni sawa kwake kufanya hivyo maana kwa WAISLAM WATOTO WALIOZALIWA OUT OF WEDLOCK nsaba yao inafuata kwa mama yao....
 
Nendeni hapo Gerezani mchukue Check no ya Mshahara wake mwende Pensheni mkaangalie kama bado anapokea Kiinuwa Mgongo chake! Mtapata Acc na Tawi la Benk anapochukuwa pesa za penshen Simple
Kwa miaka inyaozungumziwa sidhani kama watumishi walikuwa wanalipwa kwa cheque number!
 
Huna baya !! Binafsi nimekuelewa sana ushauri ulompa ! Spot on.
 
Ushakuwa ubabaishaji huu,yeye kuna njia aliiwaza ambayo nadhani kwa sasa haifanyi kazi

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Hapa kama una mganga mkali dk tu ana mwona kwenye kioo anakuambia alipo. Wale ambao huwa mnajifanya wataalam haya leteni utaalamu wenu hapa. Siyo mnakaa kuwafunga kamba tu vijana humu kuwa mna huo utaalamu na kuwadanganya danganya.
 
Anyway. Lazima sana awe yeye mwenyewe asilimia 100? Je kama kuna mzee wanafanana majina anaweza pia kufaa?
 
[emoji1787][emoji1787]ko sababu wajukuu wanamtaka babu ahaha daa yaani kama tuu baba yao hamjui baba yake ila watoto wanataka babu hao watoto inaonekana wamedekezwa saaan
Kina Junior wanamtaka Babu... Ila hawa watoto hawajui Lolote kuhusu baba yao hata Ndugu wa upande wa babaaa..??? Mama yao alikuwa kauzuuu...
 
Naelewa sana unachikitaka ni kheri kubwa pia hata kwa watoto kujua asili yao. Nakutakia baraka umpate mzee. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…