Atakayetoa taarifa sahihi ya kupatikana Mzee Michael Juma, zawadi Tsh 500,000/ au zaidi

Atakayetoa taarifa sahihi ya kupatikana Mzee Michael Juma, zawadi Tsh 500,000/ au zaidi

Nenda Facebook angalia magrouop ya mikoa aliyowah Kuishi Kisha join andika tangazo utapata taarifa zake bila kutoa hata pesa
Mimi niliwapata nduguzangu Kwa njia hiyo ya ni Muda wa sikumbili tu nilipata mawasiliano yao na Ilikuwa miak kumi tangu tupotezane
 
Kwetu tutakuwa hatuna kosa kwa mungu kwa kuwa tulidhamilia kwa Nia njema na tutakuwa tumeutua mzigo
Nadhani haujajibu Swali..., Watu kupotea na kujipoteza huwa wana sababu zao sio vibaya kumtafuta kwa siri na polepole mwingine unaweza kumtafuta kumbe aliwatelekeza na huko alipo ana familia zake watata hivyo kuliko kuwafurahia akawakimbia sisemi ndivyo hapana ila uwezekano upo....

Kwahio tread carefully sababu nadhani mnajenga wala hamtaki kubomoa
 
Asante sana
Nenda Facebook angalia magrouop ya mikoa aliyowah Kuishi Kisha join andika tangazo utapata taarifa zake bila kutoa hata pesa
Mimi niliwapata nduguzangu Kwa njia hiyo ya ni Muda wa sikumbili tu nilipata mawasiliano yao na Ilikuwa miak kumi tangu tupotezane
 
Wa nje sio watoto bali wavurugaji wa amani za ndoa. Kutana na mchepuko jeuri utachukia kila kitu kinachotoka tumboni mwake. Napita vileee maana NAWACHUKIA SANA SIDE KIDS.

Mimi sio kaka ni dada,mama,bibi
Mungu hakuumba ndoa.Mengine ni mbwembwe za binadamu tu.
 
Tayari tumeshapita sehemu bila mafanikio Ila kwa sasa tumepiga kambi mtwara na kumtafuta wazee wa zamani ambao watatusaidia,tulimpata mmoja katika mkoa wa singida akatupa ABC za kuanzai maana alikuwa anamjua walikuwa section moja kwa sasa ni mstaafu huyu mzee.Tutatoa mrejesho
 
Back
Top Bottom