Atakayetoa taarifa sahihi ya kupatikana Mzee Michael Juma, zawadi Tsh 500,000/ au zaidi

Ingia inbox yako mkuu afu utakuja kutoa mrejesho wako hapa hiyo hela usinizurumu lakini.
 
nenda magereza utapata taarifa zake
 
Nyongeza: Miaka hiyo ya 1980S alihamia Musoma kutokea gereza la singida na mda huo ANA alikuwa ameshaachishwa ziwa Kumbe Ana anawezakuwa kazaliwa Kati ya mwaka1978-79.Na uhakika Ni kwamba Kati ya mwaka1983-84 Ndo aliacha kazi na kuelekea kwao mtwara mjini kwa mzee wake maana mama yake mzazi alikuwa ameshaachana na baba yake na alikuwa akiishi mtwara vijijini.

Baadae alianzisha karakana yake ya uselemala apo apo mtwara mjini.Asanteni.Nitatoa mrejesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…