Nijibu kwanza swali hili kwanza tujue ujanja wakoMi muafrika mjanja bana siamin nonsense😂
Yaani nitoe 25M halafu nikufanyie na nusu ya kazi ya kuniloga?Twende ukakabizishe hizo hela kabisa kwa makubaliano ya kusainishana kisheria alafu nipe majina yako matatu na uzi kutoka kwenye nguo yako.... Niruke pale tunduma chap kwa mzee mmoja anaitwa Nyang'anya Wananyungi Filtahai Bin Nyang'anya, Wewe week tu unabaka mwanafunzi na ndo unakuwa mwanzo wa matatizo yako.
Nimecheka sana aiseee😂😂Hao watu wameenda kufanya nini hapo Hospitali? kama wana mgonjwa kwanini wasimponyeshe kwa uchawi wao?
😀 😀
Ume elezea vyema sana.....Nili kua mbishi kama huyo jamaa mtoa mada...Kuna jamaa wana maduka ya vifaa vya ujenzi,wamewekeana hadi mipaka ya kumwaga hzo dawa zao
Mmoja akiona tu siku hyo hauzi,anachukua dawa hata kama ni mchana anaanza kumwagilizia
Uchawi upo na unafanya kazi,ukiona kitu kinafatwa na watu wengi usizan ni wajinga ujue kuna kitu wanapata
Zamani nilitaka kuamini kuwa kwenye hz dini ukiristo na uislamu watu wanapoteza tu muda lakin siyo kwel kuna nguvu zipo huko na zinasaidia watu
Wameweza kuona account yangu iko empty ila wameshindwa tibia jamaa yao kiuganga🤣🤣.Mleta mada
Niko na watu hapa wanaongea na mwenzie hospitalini TMJ hapa naona wanga hawa wanasoma jamiiforums huo uzi wako
Mmoja kaenda chooni akarudi akasema kachungulia akaunti yako iliyoko CRDB amekuta ina hela ndogo hizo milioni 25 hazipo
Akasema jinga tu wewe hiyo hela huna
Katizama kwenye maji ya sinki choonimchawi mpaka aende chooni 😂😂
Kwanini usiwaze kua mleta mada hataki kutoa jina lake coz analinda privacy yake? mtu anatumia fake ID halafu akupe jina lake na la Mama yake?Mie nadhani kwa kua umepania kuwa prove kua hicho kitu hakipo ungefata yale wanayokuelekeza wao, kitendo cha kukataa inaonesha hata wewe una mashaka na unachokidai,
Weka Jina lako, la Mama yako waongezee na picha yako kuna mwingine kasema uweke uzi wa nguo yako kisha mkaandikishiane sehemu,
Wafanyie hayo watakayo kisha tukae tuone matokeo hata mie nina hamu ya kujua kama inawezekana ama haiwezekani.
📌📌📌📌kama huamini kitu sio kwamba hakipo.
Hayo yao mimi nimewasikia tu nikaripoti tu nilichosikia wanaongeaWameweza kuona account yangu iko empty ila wameshindwa tibia jamaa yao kiuganga🤣🤣.
Nisaidie kuwatukana😂
Tatizo siamini.Uchawi upo toka enzi za kina Miss na Abraham,mtoa mada tembea uone mengi au nenda tu huko Sumbawanga uone jinsi watu wanavyorushiana vifurushi vya radi Tena mchana kweupee!
Haahaa🤓🤓Nijibu kwanza swali hili kwanza tujue ujanja wako
Je, kuku watano wakiangalia juu huwa wanaangalia macho mangap?
a. Kumi ( )
b. Matano ( )
c. kuku hawangalii juu ( )
d. Yote ni majibu ( )
e. Hakuna jibu ( )
Hamnakuna anaenda namba ya mwamposa mda sio mrefu 😂
Yeye si ametaka kurogwa? Au mada yake inasemaje,Kwanini usiwaze kua mleta mada hataki kutoa jina lake coz analinda privacy yake? mtu anatumia fake ID halafu akupe jina lake na la Mama yake?
😀 😀
Leta bank statement kwanza, isije ikawa unaongea maneno matupu.Hello Africans.
Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.
Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.
Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo.(Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).
Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.
Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.
Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.
Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.
Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"
Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.
Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.
UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.
Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.
Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂
Haya kazi kwenu.
NILOGENI