Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona unataka kuwa rahisishia wachawi kazi 😂taja lako kabisa mbona hujiamini na umedhamiria?
Acha tuhaya mambo ni rahisi kupuuza au kutoamini ila siku yakikukuta yanagharimu sana kujinasua, uzungu wenu ni huko huko ila uchawi upo na unafanya kazi.
naona anaogopa ataje si anajiamini hawezi fanywa chochotembona unataka kuwa rahisishia wachawi kazi 😂
Uchawi upo dear ila usiuaminiSiamini.
wanasema tu kirahisi washukuru wamezaliwa na kukulia kwenye jamii ambazo hazina hayo mambo
There is no way nitataja majina yangu humu.nipm jina halisi uone kama ni bullshit.
Sema Ahsante MunguNishasikia sana hizi hadithi ila sorry dear huwa siamini.
sasa picha yenyewe ndio hiyo umetugeuzia makalio? weka sura halisiThere is no way nitataja majina yangu humu.
Nimeweka picha yangu hapo juu itumieni kuniloga.
Kuna mtu nilisikia katumwa picha ya mke mwenzake alogwe so kama kweli hayo mavitu yanafanya kaz nilogen via my pic but majina no way
Mbona sura umeificha?There is no way nitataja majina yangu humu.
Nimeweka picha yangu hapo juu itumieni kuniloga.
Kuna mtu nilisikia katumwa picha ya mke mwenzake alogwe so kama kweli hayo mavitu yanafanya kaz nilogen via my pic but majina no way
ngoja niulize swali, mchawi si amejaliwa kufahamu mambo ya sirini ikiwemo nguvu za giza, tuseme ana uwezo binafsi ambao mwanadamu wa kawaida hana.Sasa ni vipi hao wanaojiita wachawai wasiifanye hii kazi chapu maana wao wamejaaliwa haya maujanja!?naona anaogopa ataje si anajiamini hawezi fanywa chochote
Kabisaa yaaniwanasema tu kirahisi washukuru wamezaliwa na kukulia kwenye jamii ambazo hazina hayo mambo
swali lako ndio jibu sahihingoja niulize swali, mchawi si amejaliwa kufahamu mambo ya sirini ikiwemo nguvu za giza, tuseme ana uwezo binafsi ambao mwanadamu wa kawaida hana.Sasa ni vipi hao wanaojiita wachawai wasiifanye hii kazi chapu maana wao wamejaaliwa haya maujanja!?
au mimi na mtoa mada ndo hatuelewi dhana ya uchawi?
Nimependa Tu msambwanda huoo....There is no way nitataja majina yangu humu.
Nimeweka picha yangu hapo juu itumieni kuniloga.
Kuna mtu nilisikia katumwa picha ya mke mwenzake alogwe so kama kweli hayo mavitu yanafanya kaz nilogen via my pic but majina no way