Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
🤣🤣🤣 asifanye mchezo..na mbaya zaidi mtu akilogwa anakua hajijui ila watu wa pembeni ndo watamsaidia..unaweza pigwa kitu kesho huioni hiyo siku..asicheze na hizo mamboTwende ukakabizishe hizo hela kabisa kwa makubaliano ya kusainishana kisheria alafu nipe majina yako matatu na uzi kutoka kwenye nguo yako.... Niruke pale tunduma chap kwa mzee mmoja anaitwa Nyang'anya Wananyungi Filtahai Bin Nyang'anya, Wewe week tu unabaka mwanafunzi na ndo unakuwa mwanzo wa matatizo yako.