Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

nipm jina halisi uone kama ni bullshit.
There is no way nitataja majina yangu humu.
Nimeweka picha yangu hapo juu itumieni kuniloga.
Kuna mtu nilisikia katumwa picha ya mke mwenzake alogwe so kama kweli hayo mavitu yanafanya kaz nilogen via my pic but majina no way
 

Attachments

  • Screenshot_20230504-121424.jpg
    17.5 KB · Views: 4
naona anaogopa ataje si anajiamini hawezi fanywa chochote
ngoja niulize swali, mchawi si amejaliwa kufahamu mambo ya sirini ikiwemo nguvu za giza, tuseme ana uwezo binafsi ambao mwanadamu wa kawaida hana.Sasa ni vipi hao wanaojiita wachawai wasiifanye hii kazi chapu maana wao wamejaaliwa haya maujanja!?

au mimi na mtoa mada ndo hatuelewi dhana ya uchawi?
 
swali lako ndio jibu sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…