Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

Njoro is too low halafu kumekaa kushoto kushoto hakuko na usalama. Njoro kwa Dar ni sawa na umwambie mtu akaPange geto Kiwalani au Kigogo Mburahati.

Sehemu nzuri ya kuanzia maisha aidha atafte maeneo ya kuanzia maduka ya chini hadi ushirika wa Neema akishindwa atafte maeneo ya RAU. Accesibility ya usafiri ni kubwa sababu ni njia yenye vyuo vingi halafu kuko vizuri. Watoto wako wa kutosha hasa msimu wa vyuo ukiwa ON.
njoro sasa hivi kupo vizuri, bhata mimi namshauri apange maeneo hayo uliyoyataja
 
Sasa Hivi anaishi vipi na kwa kipato cha Kiasi gani ?

Nadhani jibu lipo hapo.... (Beggars are not Choosers )
 
Back
Top Bottom