Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

Nilisoma Moshi VTC, nyuma kule kuna sehemu inaitwa Pasua ni noma sio mchezo..
Nusu nibebwe na 110 za polisi mitaa ya usiku, nikatoa kitambulisho nikapoea hapo....
Ilikuwa raha maisha ya chuo pale, wakati mwingine tunaomba mechi na watoto wa kishua wa Moshi International School, Aisee, tulikuwatukiingia mule ndio tunajijua ni watoto wa masikini....maneno ya Shanty Town...
 
Nilisoma Moshi VTC, nyuma kule kuna sehemu inaitwa Pasua ni noma sio mchezo..
Nusu nibebwe na 110 za polisi mitaa ya usiku, nikatoa kitambulisho nikapoea hapo....
Ilikuwa raha maisha ya chuo pale, wakati mwingine tunaomba mechi na watoto wa kishua wa Moshi International School, Aisee, tulikuwatukiingia mule ndio tunajijua ni watoto wa masikini....maneno ya Shanty Town...
haya maelezo yanahusika vip hapa kiongozi
 
Dah kuna watu wana dhambi hii nchi yaani laki 8 kwa mwezi mtu anaomba ushauri kweli ngoja tutafute hela wakati kuna watu wana survive kwa laki tu.
 
Kama anakula beer kila weekend anaweza akawa anakula beer za 5OK ni za kutosha sana kule beer buku jero kwa buku 2 hizo local. Walevi ni wengi so ukiwa na comPany wewe unalewa kwa kiingilio cha 5Ok tu kila ijumaa na jumamosi ni kama sikukuu😂😂😂

Ushuani ni sehemu inatwa Shant Town huko nyumba ni za bei ghali. Akiishi nyumba exPensive maisha yataenda ila maendeleo hakuna
Akae Soweto.
 
Boss, Njoro ime"change". Uhalifu bado upo kama sehemu nyingine tu za uswahilini.

Extro kwa umri wangu kujidanganya nafsi yangu siwezi. Starehe zipo ila huwa zina majuto mbele. Mimi sasahivi starehe yangu ni kusoma Biblia., Nilipoteza muda na rasilimali nyingi/mwingi sana kwenye anasa. Sitamani mwingine apitie humo maana najuta. Furaha ya kweli ni uzao wa Roho Mtakatifu ndani ya mtu.

"Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili . Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili ..." Soma WAGALATIA 5:16-25.


YESU NI KRISTO
Sali pia usisahau kumwagilia moyo
 
Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Mkuu kuna mji Tanzania ambao hutaweza kuishi kwa hela hiyo? Anyway moshi maisha ni mepesi hususan kwenye kodi… 60k ni chumba kizur na sebuleni ..Mamb mengine will depend on him…
 
Ngoja tuanzue hapa, kwa sasa anaingiza pesa kiasi gani kwa mwezi?
 
Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?

Kuna watu hawana icho kipato na wanaishi mzee Aisha kulingana na kipato aache mbwembwe
 
Mwambie aachane na hiyo kazi kabisa,
Laki 8 hawezi lipia hata Kodi ya pango, hivi unacheza na Moshi wewe!

Acha ufala mkuu Kwa Iyo kodi tu lak 8 ? Hakuna chini ya apo sio ? Watu wote naoishi moshi kodi ndo iyo sio?
 
Back
Top Bottom