Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi wanipe laki tano tu naanza kazi keshoKuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Kwahio sahizi unataka kuniambia ushenzi wa kuibiana hamna njoro?mkuu Extro, unamwelekeza tena kwenye uasherati, na wakati anatakiwa abane matumizi ipasavyo kwa ajili ya kuweka msingi bora wa maisha yake? Sio vzr kuanza kwa anasa maana kuna mambo yako mbele yake kama: ujenzi wa nyumba, ndoa, kuwakumbuka wazazi, kuweka akiba, nk
Njoro imerithi jina baya tu, kwa sasa iko vizuri. Zamani ndio ilikuwa ya kihuni.
Kwani moshi bei ya bia ni tofauti na Dar?Moshi hata watokao Dar watumiaji hela huushangaa huo mji maana kwenye matumizi ya Pesa naweza kufananisha na VVT-i. Hela kidogo starehe nyingi ila Dar huku ni V8 hela mlima starehe kiduchu.
Ukiwa na laki tu starehe unayokula Moshi kwa Dar haPa labda uwe na mara mbili ya hela.
Dar bei ni juu kidogo.Kwani moshi bei ya bia ni tofauti na Dar?
Boss, Njoro ime"change". Uhalifu bado upo kama sehemu nyingine tu za uswahilini.Kwahio sahizi unataka kuniambia ushenzi wa kuibiana hamna njoro?
Labda kama ni mlokole wa kweli ila starehe ni sehemu ya maisha mkuu. Maendeleo tufanye ila tusisahau kuishi. Moshi mji mzuri sana hakika.
Milele amina mkuu!Boss, Njoro ime"change". Uhalifu bado upo kama sehemu nyingine tu za uswahilini.
Extro kwa umri wangu kujidanganya nafsi yangu siwezi. Starehe zipo ila huwa zina majuto mbele. Mimi sasahivi starehe yangu ni kusoma Biblia., Nilipoteza muda na rasilimali nyingi/mwingi sana kwenye anasa. Sitamani mwingine apitie humo maana najuta. Furaha ya kweli ni uzao wa Roho Mtakatifu ndani ya mtu.
"Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili . Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili ..." Soma WAGALATIA 5:16-25.
YESU NI KRISTO
Mkuu nipe elimu ya VVT-i na V8 hizo ulizozitaja kwenye gari humaanisha niniMoshi hata watokao Dar watumiaji hela huushangaa huo mji maana kwenye matumizi ya Pesa naweza kufananisha na VVT-i. Hela kidogo starehe nyingi ila Dar huku ni V8 hela mlima starehe kiduchu.
Ukiwa na laki tu starehe unayokula Moshi kwa Dar haPa labda uwe na mara mbili ya hela.
Mwambie aache umama, mi nilipata kazi Arusha mshahara laki nne, kipindi hicho na nikasurvive # kupanga ni kuchaguaKuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Mwaka gani hiyo ilikua?Mwambie aache umama, mi nilipata kazi Arusha mshahara laki nne, kipindi hicho na nikasurvive # kupanga ni kuchagua
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kuna Mzaramo alienda kusoma chuo Moshi...anakuambia ukiacha kwao Bagamoyo...sehemu nyingine anayoikubali ni Moshi.Moshi hata watokao Dar watumiaji hela huushangaa huo mji maana kwenye matumizi ya Pesa naweza kufananisha na VVT-i. Hela kidogo starehe nyingi ila Dar huku ni V8 hela mlima starehe kiduchu.
Ukiwa na laki tu starehe unayokula Moshi kwa Dar haPa labda uwe na mara mbili ya hela.
Vvti ni mfumo wa uchomaji wa mafuta kwa kuzingatia throttle response ya mwendeshaji yaniMkuu nipe elimu ya VVT-i na V8 hizo ulizozitaja kwenye gari humaanisha nini