Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kuna watu wanaishi Moshi na mshahara wa laki tano na bado anaishi yeye hiyo kubwa Sana mwambie aache maringo na kukufuru au ana Nia ya kujigamba navyoona mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anakula beer kila weekend anaweza akawa anakula beer za 5OK ni za kutosha sana kule beer buku jero kwa buku 2 hizo local. Walevi ni wengi so ukiwa na comPany wewe unalewa kwa kiingilio cha 5Ok tu kila ijumaa na jumamosi ni kama sikukuu😂😂😂Ok mkuu,nimekupata
Ushuani ni sehemu inatwa Shant Town huko nyumba ni za bei ghali. Akiishi nyumba exPensive maisha yataenda ila maendeleo hakunaMoshi ushuani ni kama wapi mkuu?
Duh!!...Akitaka anaishi bila shida asipotaka haitoshi....Kuna jamaa angu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Watu tunaishi kwa 400000 chumba cha kupanga 70000 per month na life linaenda tu na hatua za maisha tunapiga hatua tu
Graduate kaajiriwa 2015 anaishi Dar na 510,000 sembuse huyo kondeboya wakoKuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Katika ambayo ambayo ina cost ya maisha ya chini na maisha mazuri moshi ni mojawapo especially kwa mtu mwenye kipato cha mwezi ataishi vizuri sana.Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Acha uongo. Watu tumeishi hapo na tunakwenda mara kwa mara. Me nimeishi sana kule tokea mwaka 2008.Mwambie aachane na hiyo kazi kabisa,
Laki 8 hawezi lipia hata Kodi ya pango, hivi unacheza na Moshi wewe!
Aache aolewe. Moshi hata laki mbili unaishi vizuri tuKuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Ni yeye mwenyewe. Anazuga tu kumtaja mwingineUyo jamaa wako kwao bukoba sehem gani?
Yeah kweli mzee baba nipo kipande cha rauMoshi ukiwa na mshahara tu hata kama sio mkubwa say kuanzia hiyo laki 4 unaishi vizuri sana vyakula bei rahisi. Usafiri bei rahisi. Nyumba ndio ghali kutegemeana na location.
Njoro is too low halafu kumekaa kushoto kushoto hakuko na usalama. Njoro kwa Dar ni sawa na umwambie mtu akaPange geto Kiwalani au Kigogo Mburahati.Atafute chumba eneo liitwalo Njoro, life is simple. Kwa hiyo salary, ata-save hela za maendeleo
JESUS IS LORD
mkuu Extro, unamwelekeza tena kwenye uasherati, na wakati anatakiwa abane matumizi ipasavyo kwa ajili ya kuweka msingi bora wa maisha yake? Sio vzr kuanza kwa anasa maana kuna mambo yako mbele yake kama: ujenzi wa nyumba, ndoa, kuwakumbuka wazazi, kuweka akiba, nkNjoro is too low halafu kumekaa kushoto kushoto hakuko na usalama. Njoro kwa Dar ni sawa na umwambie mtu akaPange geto Kiwalani au Kigogo Mburahati.
Sehemu nzuri ya kuanzia maisha aidha atafte maeneo ya kuanzia maduka ya chini hadi ushirika wa Neema akishindwa atafte maeneo ya RAU. Accesibility ya usafiri ni kubwa sababu ni njia yenye vyuo vingi halafu kuko vizuri. Watoto wako wa kutosha hasa msimu wa vyuo ukiwa ON.