Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

Ataweza kuishi Moshi kwa salary ya laki 8?

Vvti ni mfumo wa uchomaji wa mafuta kwa kuzingatia throttle response ya mwendeshaji yani
pressure ya mguu unapokanyaga accelerator. Variable valve timing with intelligence ndio kirefu chake.

Ukikanyaga kwa nguvu basi engine control unit valve zaidi na kuruhusu mafuta na hewa nyingi zaidi kuchomwa ili kuzalisha nguvu na mwendo zaidi. Ukikanyaga kwa taratibu vivyo hivyo na valve zitafunguka kidogo ili kusababisha more fuel efficiency.

Tofauti na carburetted engines ambavyo zilikuwa zinasukuma mafuta kama bomba tu na valve zinafunguka na kufunga kwa kipimo constant as long as gari linawaka, linatembea kiwango cha mafuta ni constant. Hii ilipelekea mafuta mengi kupotea na gari kutokuwa na ufanisi maana mda unapohitaji nguvu gari kama kwenye vilima inakula wese, usipohitaji nguvu sana pia gari inakula wese.
Ubarikiwe sana bro! Ndio maana naipenda JF.


Amen.
 
Njoro is too low halafu kumekaa kushoto kushoto hakuko na usalama. Njoro kwa Dar ni sawa na umwambie mtu akaPange geto Kiwalani au Kigogo Mburahati.

Sehemu nzuri ya kuanzia maisha aidha atafte maeneo ya kuanzia maduka ya chini hadi ushirika wa Neema akishindwa atafte maeneo ya RAU. Accesibility ya usafiri ni kubwa sababu ni njia yenye vyuo vingi halafu kuko vizuri. Watoto wako wa kutosha hasa msimu wa vyuo ukiwa ON.
Kula like hapo kwenye watoto ndio pointi ya msingi
 
Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Asante kutufahamisha kuwa umepata kazi yenye meshahara (take home) shilingi laki nane (800,000/=) mkuu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Vvti ni mfumo wa uchomaji wa mafuta kwa kuzingatia throttle response ya mwendeshaji yani
pressure ya mguu unapokanyaga accelerator. Variable valve timing with intelligence ndio kirefu chake.

Ukikanyaga kwa nguvu basi engine control unit valve zaidi na kuruhusu mafuta na hewa nyingi zaidi kuchomwa ili kuzalisha nguvu na mwendo zaidi. Ukikanyaga kwa taratibu vivyo hivyo na valve zitafunguka kidogo ili kusababisha more fuel efficiency.

Tofauti na carburetted engines ambavyo zilikuwa zinasukuma mafuta kama bomba tu na valve zinafunguka na kufunga kwa kipimo constant as long as gari linawaka, linatembea kiwango cha mafuta ni constant. Hii ilipelekea mafuta mengi kupotea na gari kutokuwa na ufanisi maana mda unapohitaji nguvu gari kama kwenye vilima inakula wese, usipohitaji nguvu sana pia gari inakula wese.

V8 ni mpangilio wa Cylinder na piston kwenye block kushoto na kulia zikiwa zimekaa 4 kushoto na 4 kulia kiubavu. Zimetengeneza muonekano wa umbile V. Hii engine iko kwenye Land Cruiser za viongozi kwa jina common VX V8 (vieite) ila ubaya ni kuwa ulaji wake ni mkubwa sana wa mafuta sababu ni engine kubwa sana.
Mkuu kwa ufafanuzi huu nimepata mwanga sana. Daah! JF napakubali sana. Abarikiwe mkuu Mello.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Utakuwa mjinga bila shaka kwani wanaoishi moshi wote wanalipwa zaidi ya laki nane? Kuna bodaboda,mama mboga,wasukuma mikokoteni,walinzi na hata wasiojishughulisha kwa chochote na wanaishi. Nenda kazini wewe bwege.
Mkipataga kazi mnajifanya wakati kila siku humu mlikuwa mnalia lia na kumwaga kamasi kila jukwaa. Go and work bladifakeni.
 
Back
Top Bottom