Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguo bei rahisi pale MimorialMoshi ukiwa na mshahara tu hata kama sio mkubwa say kuanzia hiyo laki 4 unaishi vizuri sana vyakula bei rahisi. Usafiri bei rahisi. Nyumba ndio ghali kutegemeana na location.
Mkuu hiyo fedha ni ndogo sana kwa Moshi, angalau iwe Mil 1.5 hivi kwa mbaali anaweza kuishi Moshi.Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Mwambie anipe mimi hiyo nafasi, nitaweza kuishi kwa Laki 5(Maximum)Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Mabogini ya Kahe Kule mwisho wa mashamba ya miwa?Ili aweze kusave za kutosha itabidi akaishi. Mabogini
Umepanick , shusha pumzi rudia kusoma utamuelewa.Acha ufala mkuu Kwa Iyo kodi tu lak 8 ? Hakuna chini ya apo sio ? Watu wote naoishi moshi kodi ndo iyo sio?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa kapaniki wakati aliecomment anamkejeli mtoa madaaUmepanick , shusha pumzi rudia kusoma utamuelewa.
Ni muhaya wa wapi?Kuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Jirani kabisa na pale KatereroNi muhaya wa wapi?
RAU si ndiko walikamatwa akina Mohamed Ligwenya, Khalfani Bwire na Adamu Kasekwa? Hilo eneo sitaki hata kulisikiaNjoro is too low halafu kumekaa kushoto kushoto hakuko na usalama. Njoro kwa Dar ni sawa na umwambie mtu akaPange geto Kiwalani au Kigogo Mburahati.
Sehemu nzuri ya kuanzia maisha aidha atafte maeneo ya kuanzia maduka ya chini hadi ushirika wa Neema akishindwa atafte maeneo ya RAU. Accesibility ya usafiri ni kubwa sababu ni njia yenye vyuo vingi halafu kuko vizuri. Watoto wako wa kutosha hasa msimu wa vyuo ukiwa ON.
Mwambie aache ujingaKuna jamaa yangu kapata kazi huko Moshi mkoani Kilimanjaro, salary ni laki 8 baada ya makato yote.
Je ataweza kuishi hapo Moshi kwa huo mshahara, maana anasita kwenda kumwaga wino?
Kuna watu mnajua kujaza watu ujingaMkuu hiyo fedha ni ndogo sana kwa Moshi, angalau iwe Mil 1.5 hivi kwa mbaali anaweza kuishi Moshi.
Kama vipi asisinye tu wino aachane na hiyo kazi, mshahara mdogo sana.