Hawa majamaa wanatia aibu bungeni na spika naye kaungana naoKumbe serikali huwa inajikata kodi kwenye mali zake yenyewe mpaka zinashindwa kujiendesha, kwani CAG alitoa maoni gani ili hilo shirika lijiendeshe kwa faida? au nae alisema tu ndege ziuzwe kama sisi laymen wa mtaani.
KabisaNadiyo maana jawakufanikiwa kwenye biashara zao
Kwa hiyo Kigoma wahojiwe uraia sababu ya umasikini wao? jinga kabisa justification ya uraia sasahivi ni utajiri?Wahindi na waarabu ndio wanaendesha kwa asilimia kubwa uchumi wa nchi hii.Miji mikubwa yote katikati ya miji wajenzi ni hao .Viwanda vyote vikubwa ni hao .Ajira nyingi za viwandani ni wao wanatoa.Mabilionea wakubwa wote Tanzania ni wao wahindi na waarabu.Walipa kodi wakubwa ni wao.Makampuni makubwa ya mafuta na ya usafirishaji nk ni wao
Sasa tuulizane hao wa kigoma mfano akina Nondo uliowataja cha maana wanachochangia nchi hii ni nini? Zaidi ya kutuletea majambazi na kupiga domo tu toka utawalinganisha na wahindi na waarabu ? futa kauli yako
Babako akiwa amelala usiwe unachezea simu yake kuwa na adabu.Huyu zungu ni mtanzania? na kama ni mtanzania ni ukoo wa nani? wahindi, waarabu na wasomali wanajificha kwenye CCM na huku siyo raia wa Tanzania, utasikia Nondo na ndugu zetu wengine wa Kigoma wanahojiwa uraia badala ya hawa wakimbizi.
TeteteteBabako akiwa amelala usiwe unachezea simu yake kuwa na adabu.
Ndiyo nyie wajinga mnawafanyia hivyo wanakigomaHakuna nchi duniani inamtaka maskini nchini mwake kama mhamiaji
Huku ni kujifariji. Airline business haiwezi kuendeshwa kwa faida kokote duniani kwa mazingira ya sasa ya vikwazo vya Korona.Toka bunge hili lianze mbunge ninayeona katoa hoja nzito ni Zungu Kaeleza vizuri sana kuhusu ATCL NA NAMNA YA KUIFANYA IWE NA FAIDA KUBWA
Kasema kabla ya Magufuli Mishahara yote ya wafanyakazi wa ATCL KWA ASILIMIA 100 ilikuwa ikilipwa na serikali sasa hivi serikali inalipa asilimia 17 tu kiasi kilichobaki wanalipa wenyewe
Kashauri serikali kuondoa vitu kama landing fee ,navigation fee na parking fee nk
Msikilize kuanzia dakika ya 4
Kwa akili tu ya kawaida... Shirika bado linaendelea kufanya kazi... Kama mapato yote yanaenda serikalini...Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali
Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.
ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL
Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
[emoji706][emoji706]Bado tu mnapigia debe hizo ndege ilihali zimeleta loss ya zaidi ya billion 100+ toka mzipokee! Hivi huu ushamba mtaacha lini ccm??
Acheni kuchezea kodi za wananchi hivyo mkidhani wanafurahia hizo siasa zenu..
Bwana Polepole Gwiji bobevu la uchambuzi wa taarifa za kiuchumi.Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali
Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.
ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL
Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
Mimi sio polepole nilishahisiwa kuwa mimi ndio Magufuli mwenyewe wakati yuko hai hasa nilipotetea kiswahili kuponda kingereza.Sio Polepole mimiBwana Polepole Gwiji bobevu la uchambuzi wa taarifa za kiuchumi.
Haahaahaaha haaaa! Basi hii itakua account ya taasisi!Mimi sio polepole nilishahisiwa kuwa mimi ndio Magufuli mwenyewe wakati yuko hai hasa nilipotetea kiswahili kuponda kingereza.Sio Polepole mimi
Toka bunge hili lianze mbunge ninayeona katoa hoja nzito ni Zungu Kaeleza vizuri sana kuhusu ATCL NA NAMNA YA KUIFANYA IWE NA FAIDA KUBWA
Kasema kabla ya Magufuli Mishahara yote ya wafanyakazi wa ATCL KWA ASILIMIA 100 ilikuwa ikilipwa na serikali sasa hivi serikali inalipa asilimia 17 tu kiasi kilichobaki wanalipa wenyewe
Kashauri serikali kuondoa vitu kama landing fee ,navigation fee na parking fee nk
Msikilize kuanzia dakika ya 4
Kifo cha huyu Mkulu wenu kimewavuruga sana nyie wanyonge, kafa na akili zenu timamu baadhi yenu...[emoji706][emoji706]