ATCL imeanza kupaa sana kimapato. Mbunge Zungu Ashauri serikali iige inachofanyiwa Ethiopian Airline na Serikali yao

ATCL imeanza kupaa sana kimapato. Mbunge Zungu Ashauri serikali iige inachofanyiwa Ethiopian Airline na Serikali yao

Kumbe serikali huwa inajikata kodi kwenye mali zake yenyewe mpaka zinashindwa kujiendesha, kwani CAG alitoa maoni gani ili hilo shirika lijiendeshe kwa faida? au nae alisema tu ndege ziuzwe kama sisi laymen wa mtaani.
Hawa majamaa wanatia aibu bungeni na spika naye kaungana nao
 
ATCL ni shirika linalojiendesha kwa hasara tupu kwa miaka mitano mfululizo. Hivyo ndivyo ripoti ya CAG ilivyosema.

Tusipindishe mambo wala tusitafute mchawi, ATCL ni shirika bovu, lina ukwasi hasi, linaendeshwa kisiasa na sio kibiashara. Faida itatokea wapi?
 
Wahindi na waarabu ndio wanaendesha kwa asilimia kubwa uchumi wa nchi hii.Miji mikubwa yote katikati ya miji wajenzi ni hao .Viwanda vyote vikubwa ni hao .Ajira nyingi za viwandani ni wao wanatoa.Mabilionea wakubwa wote Tanzania ni wao wahindi na waarabu.Walipa kodi wakubwa ni wao.Makampuni makubwa ya mafuta na ya usafirishaji nk ni wao

Sasa tuulizane hao wa kigoma mfano akina Nondo uliowataja cha maana wanachochangia nchi hii ni nini? Zaidi ya kutuletea majambazi na kupiga domo tu toka utawalinganisha na wahindi na waarabu ? futa kauli yako
Kwa hiyo Kigoma wahojiwe uraia sababu ya umasikini wao? jinga kabisa justification ya uraia sasahivi ni utajiri?
 
Huyu zungu ni mtanzania? na kama ni mtanzania ni ukoo wa nani? wahindi, waarabu na wasomali wanajificha kwenye CCM na huku siyo raia wa Tanzania, utasikia Nondo na ndugu zetu wengine wa Kigoma wanahojiwa uraia badala ya hawa wakimbizi.
Babako akiwa amelala usiwe unachezea simu yake kuwa na adabu.
 
Kwa hiyo Kigoma wahojiwe uraia sababu ya umasikini wao? jinga kabisa justification ya uraia sasahivi ni utajiri?
Hakuna nchi duniani inamtaka maskini nchini mwake kama mhamiaji
 
Toka bunge hili lianze mbunge ninayeona katoa hoja nzito ni Zungu Kaeleza vizuri sana kuhusu ATCL NA NAMNA YA KUIFANYA IWE NA FAIDA KUBWA

Kasema kabla ya Magufuli Mishahara yote ya wafanyakazi wa ATCL KWA ASILIMIA 100 ilikuwa ikilipwa na serikali sasa hivi serikali inalipa asilimia 17 tu kiasi kilichobaki wanalipa wenyewe

Kashauri serikali kuondoa vitu kama landing fee ,navigation fee na parking fee nk

Msikilize kuanzia dakika ya 4


Huku ni kujifariji. Airline business haiwezi kuendeshwa kwa faida kokote duniani kwa mazingira ya sasa ya vikwazo vya Korona.
 
Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali

Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.

ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL

Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
Kwa akili tu ya kawaida... Shirika bado linaendelea kufanya kazi... Kama mapato yote yanaenda serikalini...
Je pesa ya kuendelea kuliendesha shirika inatoka wapi..?? Je shirika linajiendesha kwa mkopo...?? Je ni pesa/mapato ambayo yote anarudishwa serikalini ndio hayo hayo yanarudi kuliendesha shirika...??? Na kama mapato ni madogo kuliko matumizi... Ni faida gani shirika inaregulate..??!!
 
Bado tu mnapigia debe hizo ndege ilihali zimeleta loss ya zaidi ya billion 100+ toka mzipokee! Hivi huu ushamba mtaacha lini ccm??

Acheni kuchezea kodi za wananchi hivyo mkidhani wanafurahia hizo siasa zenu..
[emoji706][emoji706]
 
Hpo ndipo anapembua source ya hiyo loss inakotokea na sio loss as such ukitazama sababu mlipwaji ni serikali

Mfano vitabu vya hesabu vinaonyesha shirika lilipata mapato ya jumla ya shilingi bilioni 100 halafu ikalipa serikali parking fee shilingi bilioni 120.Utasema hilo shirika linaendeshwa kwa hasara linakula hela za walipa kodi sababu limepata hasara ya bilioni 20? Wakati hizo bilioni 120 zote zimeenda serikalini ambaye ndie mumiliki asilimia 100 WA SHIRIKA LA NDEGE HIYO HASARA NI YA WASIOJITAMBUA WAHASIBU NA CAG WAO.

ATCL sio kampuni private ni ya serikali asilimia 100.Kwa hiyo kujua kama ilipata hasara hutakiwi kuangalii vi book keeping vya form one vya profit and loss account!!!!! ANGALIA hayo yanayoitwa matumizi ni shilingi ngapi kapeleka serikalini pia.U take into account kabla ya kusema ohhh ATCL NI LOSS making compay .Inakula tu pesa za walipa kodi!! Imekula kodi za walipa kodi wapi hizo bilioni 120 kwenye huo mfano zimekwenda wapi si ni serikalini? Kwani Magufuli kaenda nazo kaburini au kazipeleka uswisi kuzificha? Na bado kuna ma VAT kibao serikali imelipwa na ATCL hujayajumlisha mikodi kibao ya tiketi na ya ATCL YENYEWE AMBAYO SERIKALI IMELIPWA NA ATCL

Mbunge Zungu yuko sahihi anajaribu kumuonyesha CAG NA SERIKALI KUWA HICHO KINACHOITWA LOSS siri yake imejificha wapi ambako hata CAG na kukariri kwake double entry book keeping hakuona sababu alichokisoma alikariri
Bwana Polepole Gwiji bobevu la uchambuzi wa taarifa za kiuchumi.
 
Hadi sasa mtoa mada hajajibiwa kwa hoja...

naendelea kusisitiza JF ya sasa imejaa watu wa ajabu mno.
 
Bwana Polepole Gwiji bobevu la uchambuzi wa taarifa za kiuchumi.
Mimi sio polepole nilishahisiwa kuwa mimi ndio Magufuli mwenyewe wakati yuko hai hasa nilipotetea kiswahili kuponda kingereza.Sio Polepole mimi

Mimi mchambuzi huru mwenye akili huru za kuchambua mambo independently
 
Mimi sio polepole nilishahisiwa kuwa mimi ndio Magufuli mwenyewe wakati yuko hai hasa nilipotetea kiswahili kuponda kingereza.Sio Polepole mimi
Haahaahaaha haaaa! Basi hii itakua account ya taasisi!
 
Ugoro mtupu.

ATCL ni hasara tupu serikali haiwezi hii biashara, tulikabidhi nchi kwa malimbukeni wa ndege.
 
Toka bunge hili lianze mbunge ninayeona katoa hoja nzito ni Zungu Kaeleza vizuri sana kuhusu ATCL NA NAMNA YA KUIFANYA IWE NA FAIDA KUBWA

Kasema kabla ya Magufuli Mishahara yote ya wafanyakazi wa ATCL KWA ASILIMIA 100 ilikuwa ikilipwa na serikali sasa hivi serikali inalipa asilimia 17 tu kiasi kilichobaki wanalipa wenyewe

Kashauri serikali kuondoa vitu kama landing fee ,navigation fee na parking fee nk

Msikilize kuanzia dakika ya 4



Alikuwepo wapi wakati wa JIWE kumpa huo ushauri?
 
Kama una ndege hazisafiri kwenda Ulaya we ndio basi tafuta biashara nyingine
 
[emoji706][emoji706]
Kifo cha huyu Mkulu wenu kimewavuruga sana nyie wanyonge, kafa na akili zenu timamu baadhi yenu...
IMG_20210416_095205.jpg
 
Back
Top Bottom