Panda hizo hizo kama hakuna deal yoyote unafuata.Sasa tupande ndege gani maana next week nataka nipande
Acha nipande bus tu
Mkuu ntafanya hivyo maana precision kuna siku engine moja ilizimaPanda hizo hizo kama hakuna deal yoyote unafuata.
Na sasa zimezidi hakuna ndege kabisa na sababu hatujuiATC zamani ilikuwa inaitwa Anytime Time Cancellation...
PIA ni Please Inform Allah.ATC zamani ilikuwa inaitwa Anytime Time Cancellation...
Kitu nilichokiona leo kama mtu una connection ya KIA,kwenda international na unategemea kutumia local flight kuja hapa KIA bora upande Dar express ya Arusha siku kabla utokee arusha.maana kwa nilichokiona leo uko likely kuaachwa ndege.Ndege za Tz hazina uhakika kabisa,kuna siku nilikua nasafiri na Precision ikaahirishwa mara 2,kutoka saa 10 mpaka sa a 3,saa 3 hadi saa 5.Huwa najiulizaga sana wanaopanda from KIA kufanya connection kwenda nchi nyingine inakuwaje?
Kweli kabisa wabongo sijui tuna shida gani!Waafrika bado wana Epidomia na watanzania ndio balaa.
Mtanzania hawezi fanya serious business!!
Mbaya zaidi wala hawajali... zaidi sana utasikia tunamwachia mungu!Kweli kabisa wabongo sijui tuna shida gani!