ATCL shusheni bei ili mtengeneze soko kubwa la ndani, kwa namna hii mtapata faida. Kumbukeni the higher the price...

ATCL shusheni bei ili mtengeneze soko kubwa la ndani, kwa namna hii mtapata faida. Kumbukeni the higher the price...

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Ni suala la kitalaamu kiuchumi ambalo lipo katika maisha ya kila siku. Kwamba bei ikiwa ndogo uwezo wa kulipia huduma huwa mkubwa na kuongeza soko.

Kwa hiyo ili kuruhusu soko kubwa lipanuke na kuweza kupata wateja wengi ni vyema Atcl wakashusha bei kama ilivyokuwa kwa Fastjet.

Mfano kama ikiwezekana mtu kusafiri kwa laki na nusu toka Mwanza mpaka Dar Atcl wanaweza kuwa na trip zaidi ya nne kwa siku Dar to Mwanza.
 
Hawajiongezi shida..na hii kitu nimeona kwa waTz wengi..haswa wafanya biashara
 
Yote haya yalitokana na hulka za mfalme yule wa Burigi, aliyekuwa anaamini juu ya matumizi ya nguvu nyingi zaidi ya akili. Ni imani yetu kwa dalili nzuri za mwanzo za awamu Hii ya sita Utaalamu utapewa kipaumbele zaidi ya mitizamo binafsi ya watawala, na kwa kufanya hivi ATCL na Mashirika mengine ya serikali yataondokana na kadhia ya kuwa mizigo na hasara kwa serikali
 
Kwa hiyo ili kuruhusu soko kubwa lipanuke na kuweza kupata wateja wengi ni vyema Atcl wakashusha bei
Huu ni uchumi wa darasa la saba wa kina Musukuma. Sio bidhaa zote zikishushwa bei, demand inaongezeka. Mfano, leo hii chumvi ikiuzwa bure je matumizi ya chumvi yataongezeka? Mkeo utamwambia atie chumvi nyingi kwenye mboga kwa kuwa chumvi inapatikana bure? Kasome concept inaitwa Elasticity of demand and supply.

Pia soma demand ya inferior and luxry goods.

For luxury goods, when u increase the price, the demand also incresases.
 
Ni suala la kitalaamu kiuchumi ambalo lipo katika maisha ya kila siku. Kwamba bei ikiwa ndogo uwezo wa kulipia huduma huwa mkubwa na kuongeza soko. Kwa hiyo ili kuruhusu soko kubwa lipanuke na kuweza kupata wateja wengi ni vyema Atcl wakashusha bei kama ilivyokuwa kwa fastjet. Mfano kama ikiwezekana mtu kusafiri kwa laki na nusu toka Mwanza mpaka Dar Atcl wanaweza kuwa na trip zaidi ya nne kwa siku Dar to Mwanza.
Mkuu Safi kabisa, ATCL Kuna mkurugenzi boya flani hivi hata hajui anachokifanya Bora atumbuliwe na SASHA tu
 
Huu ni uchumi wa darasa la saba wa kina Musukuma. Sio bidhaa zote zikishushwa bei, demand inaongezeka. Mfano, leo hii chumvi ikiuzwa bure je matumizi ya chumvi yataongezeka? Mkeo utamwambia atie chumvi nyingi kwenye mboga kwa kuwa chumvi inapatikana bure? Kasome concept inaitwa Elasticity of demand and supply.
Pia soma demand ya inferior and luxry goods.
Nini kilitokea kipindi fastjet inaoperate? Mfano wako wa chumvi sio relevant, rudi shule ukasome vizuri unachojidai unakijua.
 
Hawajiongezi shida..na hii kitu nimeona kwa waTz wengi..haswa wafanya biashara
Hawana elimu/uzoefu wa biashara matokeo yake ndege inasafiri Dar-Mwanza na abiria watano tu ambayo ni hasara tupu tofauti na pale wangeshusha bei na kusafirisha abiria wengi zaidi na kuwafanya wapate faida kiasi ambayo inaweza patikana kila siku kwa kuwa wengi watapenda kutumia ndege zao
 
Ni suala la kitalaamu kiuchumi ambalo lipo katika maisha ya kila siku. Kwamba bei ikiwa ndogo uwezo wa kulipia huduma huwa mkubwa na kuongeza soko. Kwa hiyo ili kuruhusu soko kubwa lipanuke na kuweza kupata wateja wengi ni vyema Atcl wakashusha bei kama ilivyokuwa kwa fastjet. Mfano kama ikiwezekana mtu kusafiri kwa laki na nusu toka Mwanza mpaka Dar Atcl wanaweza kuwa na trip zaidi ya nne kwa siku Dar to Mwanza.
Jiwe aliuwa Fastjet ili kuibeba Atcl, matokeo yake ameleta shida kwa wasafiri wa kipato cha chini na cha kati.
 
Hawana elimu/uzoefu wa biashara matokeo yake ndege inasafiri Dar-Mwanza na abiria watano tu ambayo ni hasara tupu tofauti na pale wangeshusha bei na kusafirisha abiria wengi zaidi na kuwafanya wapate faida kiasi ambayo inaweza patikana kila siku kwa kuwa wengi watapenda kutumia ndege zao
Mi naamini mkurugenzi wa ATCL anafanya makusudi ili kulihujumu shirika
 
Hawana elimu/uzoefu wa biashara matokeo yake ndege inasafiri Dar-Mwanza na abiria watano tu ambayo ni hasara tupu tofauti na pale wangeshusha bei na kusafirisha abiria wengi zaidi na kuwafanya wapate faida kiasi ambayo inaweza patikana kila siku kwa kuwa wengi watapenda kutumia ndege zao
Sure..mathalani wangefanya nauli tsh 75k ama 80k kwa wanaobook mapema wangejikuta wanapata faida na pesa ya kuendesha hilo shirika ..Yani wangejikuta wanapata faida ya mwaka kesho kutwa mwaka huu...lakini pale wamekalia kuangaliana Kama manyani
 
Mtu anachajiwa tsh 500k mpaka 800k kwa safari za ndani tu za kwenda na kurudi ..
 
Sure..mathalani wangefanya nauli tsh 75k ama 80k kwa wanaobook mapema wangejikuta wanapata faida na pesa ya kuendesha hilo shirika ..Yani wangejikuta wanapata faida ya mwaka kesho kutwa mwaka huu...lakini pale wamekalia kuangaliana Kama manyani
Hata kama ikiwa 130k mpaka 150k afadhali,kuliko wanavyofanya sasa.
 
Huu ni uchumi wa darasa la saba wa kina Musukuma. Sio bidhaa zote zikishushwa bei, demand inaongezeka. Mfano, leo hii chumvi ikiuzwa bure je matumizi ya chumvi yataongezeka? Mkeo utamwambia atie chumvi nyingi kwenye mboga kwa kuwa chumvi inapatikana bure? Kasome concept inaitwa Elasticity of demand and supply.
Pia soma demand ya inferior and luxry goods.
For luxury goods, when u increase the price, the demand also incresases.
Huduma ya usafiri wa anga inapokuwa ghari sana watu wanaopt kupanda mabasi, huduma ya mabasi inapokuw ghari pia watu wataopt treni, hivyo kusha bei ni jambo jema kwa biashara na usitawi wa Atcl
 
Huu ni uchumi wa darasa la saba wa kina Musukuma. Sio bidhaa zote zikishushwa bei, demand inaongezeka. Mfano, leo hii chumvi ikiuzwa bure je matumizi ya chumvi yataongezeka? Mkeo utamwambia atie chumvi nyingi kwenye mboga kwa kuwa chumvi inapatikana bure? Kasome concept inaitwa Elasticity of demand and supply.
Pia soma demand ya inferior and luxry goods.
For luxury goods, when u increase the price, the demand also incresases.
nani asiyetaka kutoka dar saa 1 na kufika mwanza saa 3 kasoro ,WASHUSHE BEIII .FULL STOP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naamini mkurugenzi wa ATCL anafanya makusudi ili kulihujumu shirika
Hiki ndicho kinachotesa ATCL na mashirika mengi ya serikali. Watendaji/mkurugenzi anafanya kuihujumu serikali yake ili ipate hasara maana ukiangalia wanavyoendesha hili shirika unaona kabisa hakuna nia ya dhati ya kuliinua na kutengeza faida.
 
Mkuu Safi kabisa, ATCL Kuna mkurugenzi boya flani hivi hata hajui anachokifanya Bora atumbuliwe na SASHA tu
hawa ndio CAG ali report hakuna hata mmoja mwenye uzoefu wa kuendesha shirika la ndege? yaani no experience at all.
sishangai hapa walipofika
 
Kama ujazo wa mafuta ni ule ule kutoka Dar to Mwanza na unasafiri na watu watano kwa bei ya juu mfano 5(watu)x300,000(per trip) Dar -Mwanza = Tshs. 1,500,000(Jumla ya mauzo) LAKINI 100(watu)x150,000(per trip) Dar - Mwanza =Tshs,15,000,000(jumla ya mauzo). Na ukiwa safari hakuna gharama kubwa wanayoingia zaidi ya kupewa maji ya Tshs.500. Ni wakati muafaka wakashusha bei ili watu wengi watumie huduma yao.
 
Back
Top Bottom