Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
"Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals''. MSG DELIVERYNauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Mkuu hizo safari hazipo tena. Sahau hiyo kitu...watu waende Chato kufanya nn?"Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals''. MSG DELIVERY
So, vision ya kujenga ule uwanja wa chato Airport ilikuja kwasababu ya Dhahabu ya GGM?Safari za ndege za Chato- Dar, Chato - Mwz zitaendelea Sana labda dhahabu ya Geita iishe, kwa wafanyabiashara wa dhahabu ni risk Sana kusafirisha mzigo kutoka Geita kwenda Mwanza! Ila kutoka Geita kuja Chato ambapo ni karibu Sana na usalama ni wa uhakika!
Mleta mada Mkoa wa Geita umebarikiwa Sana kwa vivutio vya utalii, Burigi- Chato, Kisiwa cha Rubondo, mazalio makuu ya samaki wa aina zote ziwa victoria, nk
Kile kimtokacho kinywani(mawazoni) mwanadamu ndio humtia najisi na sio alacho! Mleta mada mawazo yako yamejaa najisi!
Duuuuuuhhh hiyo nilikuwa sijaipata.Mimi nawaomba atcl waendelee kutoza nauli viongozi na familia zao maana ile atcl ya zamani ndege zilikuwa zinajaa lakini waliolipa nauli ni wawili tu, nakumbuka mwakyembe alienda airport akakagua abiria walikuwa wanasubiri kupanda ndege ya atcl akakuta wote hawana tiketi akawaambia atakaeingia kwenye ndege ni yule atakaeenda kulipia tu, walirudi wote shenzi zao, Marehemu Magu kipindi yupo rais alikuwa analipana nauli.
Ilikuwa kipindi mwakyembe yupo wizara inayohusika na mawasiliano pamoja na uchukuzi,Duuuuuuhhh hiyo nilikuwa sijaipata.
Kweli umri wangu mdogo
Gharama za kutua ndege na kuruka chato kuelekea mwanza unazifahamu?? Kama ni ndio je huko ndo kuwa smart??Wanaendelea. ATCL wamekuwa smart. Trip ni Mwanza via Chato.
So hata kama kuna travellers wawili, poa tu, afterall, trip mwisho wa siku inapita Mwabza then Dar
Safari za ndege za Chato- Dar, Chato - Mwz zitaendelea Sana labda dhahabu ya Geita iishe, kwa wafanyabiashara wa dhahabu ni risk Sana kusafirisha mzigo kutoka Geita kwenda Mwanza! Ila kutoka Geita kuja Chato ambapo ni karibu Sana na usalama ni wa uhakika!
Mleta mada Mkoa wa Geita umebarikiwa Sana kwa vivutio vya utalii, Burigi- Chato, Kisiwa cha Rubondo, mazalio makuu ya samaki wa aina zote ziwa victoria, nk
Kile kimtokacho kinywani(mawazoni) mwanadamu ndio humtia najisi na sio alacho! Mleta mada mawazo yako yamejaa najisi!n
Mbona mapema. Si msuburi muone mambo yanaenda aje? Na sio mambo ya atcl tu, ni serikali nzima na mwenendo wa nchi baada ya Magufuli.Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.