Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #21
Watafuata digidigiUmeona mapori yale....wakafuate nn kule?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watafuata digidigiUmeona mapori yale....wakafuate nn kule?
Kwahiyo walipopanga awali hawakufanya forecast?Hapo ni swala la supply and demand, kama abiria watakuwepo kwanini ATCL wasiende Chato?
Kama kutakuwa hakuna kabisa abiria, basi, hiyo route itafutwa.
Kwahiyo walipopanga awali hawakufanya forecast?
Abiria Chato wakafanye nini?
Chato si walikuwa wanakwenda viongozi na watumishi waandamizi wa wizara mbalimbali kukagua projects .SOFAR ROUTEVYA CHATO INAABILIA ZAIDI YA UWANJA WA SONGEA..NIMESAFIRI MARA TATU KOTE MWAKAHUU..NAJUA NINACHOKISEMA
Kuku mbedu wa zabanga.mobutu tsetseseko.Gbadolite ya mobutu imehamia Tanzania...... Hasara kwa taifa nchi imeongozwa kihuni sn
😆😆😆 sasa mbona umewahukumu kabla hawajakujibu ?Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Ungejengwa hata katoro Kama vision ilikuwa ni dhahabu.So, vision ya kujenga ule uwanja wa chato Airport ilikuja kwasababu ya Dhahabu ya GGM?
Kwanini haukujengwa Geita mjini palipo na mgodi mkubwa?
Nimefanya kazi GGM na Bulyanhulu, jiografia ya Ile migodi mikubwa haina undugu na Chato Airport
CHTO NIMEAMGILIA HAKUANA MRADI WA MAANA SANA KAMA MLIVYOVUMISHAChato si walikuwa wanakwenda viongozi na watumishi waandamizi wa wizara mbalimbali kukagua projects .
Hizo projects zikiisha itakuwaje?
Hahahaaaaa!!!nakumbuka mwakyembe alienda airport akakagua abiria walikuwa wanasubiri kupanda ndege ya atcl akakuta wote hawana tiketi akawaambia atakaeingia kwenye ndege ni yule atakaeenda kulipia tu, walirudi wote shenzi zao
Jah KayaHahahaaaaa!!!
Naona kama lilikuwa igizo vile, nani alikuwa top leader wake?
Usisahau Katavi nako waliagizwa waendeKwahiyo walipopanga awali hawakufanya forecast?
Abiria Chato wakafanye nini?
Sasa kama ni hivyo kwann airport haiku jengwa Geita ? Umeona ilipo KIA na migodi ya MERERANI ? Yaan hata kwa mguu unaenda chap kwa harakaSafari za ndege za Chato- Dar, Chato - Mwz zitaendelea Sana labda dhahabu ya Geita iishe, kwa wafanyabiashara wa dhahabu ni risk Sana kusafirisha mzigo kutoka Geita kwenda Mwanza! Ila kutoka Geita kuja Chato ambapo ni karibu Sana na usalama ni wa uhakika!
Mleta mada Mkoa wa Geita umebarikiwa Sana kwa vivutio vya utalii, Burigi- Chato, Kisiwa cha Rubondo, mazalio makuu ya samaki wa aina zote ziwa victoria, nk
Kile kimtokacho kinywani(mawazoni) mwanadamu ndio humtia najisi na sio alacho! Mleta mada mawazo yako yamejaa najisi!
Kuna Taga/Nyonge moja lumesema eti watu wataenda kutembelea BurigiMkuu hizo safari hazipo tena. Sahau hiyo kitu...watu waende Chato kufanya nn?
WATU WALIOUGUMA UTAMIAMLO WAKIWA WADOGO UTAWAJUA JINSI WANAVYO ARGUE..NDO MAANA TANZAIA NA AFRICA NI MATAIFA YAKO NYUMA LICHA YAKUWA NA RASILIMALI NYINGI..MOJA WAPO NI KAMA WEWE . ARGUMENT ZAKO ZINAONYESAH YOUR REASONING CAPACITY NI POOR SANAKuna Taga/Nyonge moja lumesema eti watu wataenda kutembelea Burigi
😂😂😂😂😂😂
Sawa mkui twende pamoja, hapo mimi nime reason nini mpaka umepata reasoning capacity yangu? Wala usikimbieWATU WALIOUGUMA UTAMIAMLO WAKIWA WADOGO UTAWAJUA JINSI WANAVYO ARGUE..NDO MAANA TANZAIA NA AFRICA NI MATAIFA YAKO NYUMA LICHA YAKUWA NA RASILIMALI NYINGI..MOJA WAPO NI KAMA WEWE . ARGUMENT ZAKO ZINAONYESAH YOUR REASONING CAPACITY NI POOR SANA