ATCL vipi flights za Dar - Chato zitaendelea baada ya kifo cha Dkt. Magufuli?

ATCL vipi flights za Dar - Chato zitaendelea baada ya kifo cha Dkt. Magufuli?

Hapo ni swala la supply and demand, kama abiria watakuwepo kwanini ATCL wasiende Chato?

Kama kutakuwa hakuna kabisa abiria, basi, hiyo route itafutwa.
 
SOFAR ROUTEVYA CHATO INAABILIA ZAIDI YA UWANJA WA SONGEA..NIMESAFIRI MARA TATU KOTE MWAKAHUU..NAJUA NINACHOKISEMA

Kwahiyo walipopanga awali hawakufanya forecast?
Abiria Chato wakafanye nini?
 
SOFAR ROUTEVYA CHATO INAABILIA ZAIDI YA UWANJA WA SONGEA..NIMESAFIRI MARA TATU KOTE MWAKAHUU..NAJUA NINACHOKISEMA
Chato si walikuwa wanakwenda viongozi na watumishi waandamizi wa wizara mbalimbali kukagua projects .
Hizo projects zikiisha itakuwaje?
 
Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
😆😆😆 sasa mbona umewahukumu kabla hawajakujibu ?
 
Jamii Forum inanufurahisha sana watu wanabadilika kuendana na upepo
Juzi tu watu walikua wanamsifia Jiwe.Mara paap upepo umebadilika kisa report ya CAG[emoji1787][emoji1787]
 
nakumbuka mwakyembe alienda airport akakagua abiria walikuwa wanasubiri kupanda ndege ya atcl akakuta wote hawana tiketi akawaambia atakaeingia kwenye ndege ni yule atakaeenda kulipia tu, walirudi wote shenzi zao
Hahahaaaaa!!!
Naona kama lilikuwa igizo vile, nani alikuwa top leader wake?
 
Safari za ndege za Chato- Dar, Chato - Mwz zitaendelea Sana labda dhahabu ya Geita iishe, kwa wafanyabiashara wa dhahabu ni risk Sana kusafirisha mzigo kutoka Geita kwenda Mwanza! Ila kutoka Geita kuja Chato ambapo ni karibu Sana na usalama ni wa uhakika!
Mleta mada Mkoa wa Geita umebarikiwa Sana kwa vivutio vya utalii, Burigi- Chato, Kisiwa cha Rubondo, mazalio makuu ya samaki wa aina zote ziwa victoria, nk
Kile kimtokacho kinywani(mawazoni) mwanadamu ndio humtia najisi na sio alacho! Mleta mada mawazo yako yamejaa najisi!
Sasa kama ni hivyo kwann airport haiku jengwa Geita ? Umeona ilipo KIA na migodi ya MERERANI ? Yaan hata kwa mguu unaenda chap kwa haraka
Yaan huko kwenu ni vice versa
 
Achana na ndege kwanza mkuu. Kuna wale twiga waliohamishiwa hifadhi ya burigi, wanataka kujua hatma yao vipi? Maana wamepata taarifa kidnaper wao kashasepa.
 
Kuna Taga/Nyonge moja lumesema eti watu wataenda kutembelea Burigi
😂😂😂😂😂😂
WATU WALIOUGUMA UTAMIAMLO WAKIWA WADOGO UTAWAJUA JINSI WANAVYO ARGUE..NDO MAANA TANZAIA NA AFRICA NI MATAIFA YAKO NYUMA LICHA YAKUWA NA RASILIMALI NYINGI..MOJA WAPO NI KAMA WEWE . ARGUMENT ZAKO ZINAONYESAH YOUR REASONING CAPACITY NI POOR SANA
 
WATU WALIOUGUMA UTAMIAMLO WAKIWA WADOGO UTAWAJUA JINSI WANAVYO ARGUE..NDO MAANA TANZAIA NA AFRICA NI MATAIFA YAKO NYUMA LICHA YAKUWA NA RASILIMALI NYINGI..MOJA WAPO NI KAMA WEWE . ARGUMENT ZAKO ZINAONYESAH YOUR REASONING CAPACITY NI POOR SANA
Sawa mkui twende pamoja, hapo mimi nime reason nini mpaka umepata reasoning capacity yangu? Wala usikimbie
 
Back
Top Bottom