ATCL vipi flights za Dar - Chato zitaendelea baada ya kifo cha Dkt. Magufuli?

ATCL vipi flights za Dar - Chato zitaendelea baada ya kifo cha Dkt. Magufuli?

Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Kwani Chato hawana haki ya kupanda madege ya Tanzania au chuki na roho mbaya? Mbona hamuhoji dhahabu chekwa itokayo huko na kuchangia uchumi wa taifa?
 
WATU WALIOUGUMA UTAMIAMLO WAKIWA WADOGO UTAWAJUA JINSI WANAVYO ARGUE..NDO MAANA TANZAIA NA AFRICA NI MATAIFA YAKO NYUMA LICHA YAKUWA NA RASILIMALI NYINGI..MOJA WAPO NI KAMA WEWE . ARGUMENT ZAKO ZINAONYESAH YOUR REASONING CAPACITY NI POOR SANA
Mkuu hebu rudi shule kidogo kamalizie form two uandishi wako ni "F".
 
So, vision ya kujenga ule uwanja wa chato Airport ilikuja kwasababu ya Dhahabu ya GGM?
Kwanini haukujengwa Geita mjini palipo na mgodi mkubwa?
Nimefanya kazi GGM na Bulyanhulu, jiografia ya Ile migodi mikubwa haina undugu na Chato Airport

Majitu ya ccm ni mapumbavu, leo utashangaa anamsifia mama suluhu kusema atcl ina loss lakin ukirudi nyuma lilikuwa linamsifia magufuli kununua mindege, me sina chama ila kinachonishangaza kwanini watu kama wakina lissu huwa wanajua tokea mwanzo kwamba haya makitu yana loss sana na hayafai ilihali wakubwa bado wanaendelea nayo ? watu wahovyo sana ccm
 
Angejenga air strip na feeder road chini ya 3B, na hizo 40B... Viwanda kadhaa na kilimo cha kisasa umwagiliaji na ufugaji Chato wangemkumbuka Maisha na taifa lingeheshimu support yake.
 
Itakufa soon hii route
kutoka Geita to Dar masaa 20, masaa kibao unasubiri mwanza.
6A038C95-DFEB-4A10-9FF1-4684045F3629.jpeg
 
Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Mama Samia atazistopisha hizo flaiti mara moja! Ni hasara kwa Taifa.
 
Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Niliwahi kuelezwa na mtaalamu mmoja wa usafiri wa ndege kwamba ATCL litakufa kwa sababu linaendeshwa kisiasa. Chato ilikuwa inakwenda kisiasa tu. Ni ujinga wa kutojua biashara
 
Safari za ndege za Chato- Dar, Chato - Mwz zitaendelea Sana labda dhahabu ya Geita iishe, kwa wafanyabiashara wa dhahabu ni risk Sana kusafirisha mzigo kutoka Geita kwenda Mwanza! Ila kutoka Geita kuja Chato ambapo ni karibu Sana na usalama ni wa uhakika!
Mleta mada Mkoa wa Geita umebarikiwa Sana kwa vivutio vya utalii, Burigi- Chato, Kisiwa cha Rubondo, mazalio makuu ya samaki wa aina zote ziwa victoria, nk
Kile kimtokacho kinywani(mawazoni) mwanadamu ndio humtia najisi na sio alacho! Mleta mada mawazo yako yamejaa najisi!
Kumbe ndo nyienyie waleee na mwenda zake
 
Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good.

Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Na. Wamefilisika kweli
 
Back
Top Bottom