Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kwani Chato hawana haki ya kupanda madege ya Tanzania au chuki na roho mbaya? Mbona hamuhoji dhahabu chekwa itokayo huko na kuchangia uchumi wa taifa?Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Mkuu hebu rudi shule kidogo kamalizie form two uandishi wako ni "F".WATU WALIOUGUMA UTAMIAMLO WAKIWA WADOGO UTAWAJUA JINSI WANAVYO ARGUE..NDO MAANA TANZAIA NA AFRICA NI MATAIFA YAKO NYUMA LICHA YAKUWA NA RASILIMALI NYINGI..MOJA WAPO NI KAMA WEWE . ARGUMENT ZAKO ZINAONYESAH YOUR REASONING CAPACITY NI POOR SANA
So, vision ya kujenga ule uwanja wa chato Airport ilikuja kwasababu ya Dhahabu ya GGM?
Kwanini haukujengwa Geita mjini palipo na mgodi mkubwa?
Nimefanya kazi GGM na Bulyanhulu, jiografia ya Ile migodi mikubwa haina undugu na Chato Airport
Mama Samia atazistopisha hizo flaiti mara moja! Ni hasara kwa Taifa.Nauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Niliwahi kuelezwa na mtaalamu mmoja wa usafiri wa ndege kwamba ATCL litakufa kwa sababu linaendeshwa kisiasa. Chato ilikuwa inakwenda kisiasa tu. Ni ujinga wa kutojua biasharaNauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
Nashauri hizo ndege tukodishe kwa mashirika mengine tuwe tunakula kamisheni tu, kwa hapa as of now, sioni mwanga an future ya atcl.Ziende kufanya nini?
unaambiwa imechanganya kinyama ! πππ abiria wa kumwaga hadi ndege hazitoshiUpdates zozote kuhusu ruti hii?
πππunaambiwa imechanganya kinyama ! πππ abiria wa kumwaga hadi ndege hazitoshi
Mataga hata vitu vidogo hua vinatulamba chengaGharama za kutua ndege na kuruka chato kuelekea mwanza unazifahamu?? Kama ni ndio je huko ndo kuwa smart??
Ujue ndege usifikiri ni kama basi linavyosimama msamvu na kuendelea ndugu yangu
Kumbe ndo nyienyie waleee na mwenda zakeSafari za ndege za Chato- Dar, Chato - Mwz zitaendelea Sana labda dhahabu ya Geita iishe, kwa wafanyabiashara wa dhahabu ni risk Sana kusafirisha mzigo kutoka Geita kwenda Mwanza! Ila kutoka Geita kuja Chato ambapo ni karibu Sana na usalama ni wa uhakika!
Mleta mada Mkoa wa Geita umebarikiwa Sana kwa vivutio vya utalii, Burigi- Chato, Kisiwa cha Rubondo, mazalio makuu ya samaki wa aina zote ziwa victoria, nk
Kile kimtokacho kinywani(mawazoni) mwanadamu ndio humtia najisi na sio alacho! Mleta mada mawazo yako yamejaa najisi!
Na. Wamefilisika kweliNauliza tu vipi ATCL zile trips za Dar -Chato, Chato-Dar zitaendelea kama mlivyokuwa mkitangaza au ndio basi tena?
Kama zitaendelea good.
Kama hazitaendelea basi unafiki uliwatawala na hakika mtafilisika soon maana hamna vision. You are like wind, you have no specific direction or goals.
UV CCM siwaoni hapa.Na. Wamefilisika kweli