Mathayo Fungo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 319
- 511
Hivi hili suala ATCL wangeamua kukaa kimya wangepata tabu gani? Kuzingua wamezingua ila naona kama wamelipa uzito saaaana kupitiliza katika harakati za kujisafisha. . . .hadi tuite press aiseee. Basi sawa