Wajinga kwako ndo wajanja kwetu Mkuu piga ua galagaza hatubadiriki tafuta jingine uliseme lkn hilo??? utakesha!!..... tuna waheshimu mnoo kuliko wewe!! hata Yesu aliitwa mjinga!! je wao nani?? wasionekane wajinga???
kama hukusoma sikia mie nikumegee ...ma -idealistic wooote Duniani waliitwa wajinga!! vimbele!! mbele!! wataka sifa/makubwa so wakatengwa lkn hao ndo wana heshimiwa na kukumbukwa michango yao mpaka kesho!!
Kwa mfano Marti luther king. alidharauliwa, Mandela huyu mpaka mke wake wa ndoa alimuacha mazima!.......Nyerere Baba yake hakupenda aingie siasa! nk! lkn wale waliowadharau watu hao minara yao iko wapi leo? ukilinganisha na wao hao??
hata ukiwaita mashabiki wetu wajinga, vilaza ,kamwe unajisumbua haitufanyi sisi tusi waheshimu ndo kwaaanza tunamwaga sebene!! weye kwa kuwa ahutufuatilii hutakaa ulijue wapi linafanyika! tulipoanza kazi hii tulijua na tunajua watu km nyie mpo weengi tu!! haitufanyi tusifanye kile tunacho kiamini!!
Misemo ya kishamba hiyo imepitwa na wkt badirika!! utakulaje Mtu km kweli wewe una akili??
Usikariti wewe UPE! kwani hujui Elimu ni Bahari?? ...... Sanaa/Fasihi/ Andishi zote hizo ni Elimu tosha! siyo mpaka uende Cambridge!! yaani inadhihirisha ulivo zao la UPE! ......Elimu ni nini? kasome then uje back ku-argue na mie!...nakufundisha usichukie!
Uko sahihi!! ......fanya wewe kilicho bora kwako lkn siyo utu pangie sisi, wenyewe sisi tumeamua mkondo wetu ni huo ndo tulivyo!! siyo kwa sababu tu tunapata ugali no!! ile iko damuni hupendi siyo lazima kuanagalia tatizo liko wapi??? usitulazimishe kuwa unavyo taka wewe huo ni ugonjwa wa akili!
sipigi porojo km weye! ila nakuambia ukweli sisi ndo sisi!! hutaki achna na sisi ukifika muda kichaa chako kikipungua uje!